Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,444
B1 ni 344000 sio 304000
....hapa ni endapo huu mshahara mpya utahusika,.lakini bila hivo ni @270,800/=
B1 ni 344000 sio 304000
Oyaaa... hebu niambie mwalimu aliyemaliza form four na kupata cheti cha ualimu ndio anakuwa daraja gani na mshahara wake unaanzia shingapi? Kuna kabinti kamemaliza chuo cha ualimu naishi nako nataka niangalie ntachangia kiasi gani kwenye sendoff party.Kuna baadhi ya walimu wameshapata Barua za Kupandishwa Madaraja.
Ila sasa hapa ndipo kwenye utata:....Wale ambao walikuwa wanapata mapunjo, hawajatumiwa barua lakini kwa wale waliobahatika kupata mshahara kamili, ndio walioletewa barua.
Hivo endelea kuvumilia mpaka Tarehe 20, ukiona hakuna barua inayokuja kwako toka Manispaa..........hapo ndipo uandike barua ya maombi ya kuomba kupandishwa daraja kwa maana ni stahiki yako mkuu Buka Crouch Juniour
Kwa E1 mwaka wa fedha 2012/13 ilikuwa Tsh 720,000/= hvyo utaona ni kiasi gani kimeongezwa.
Oyaaa... hebu niambie mwalimu aliyemaliza form four na kupata cheti cha ualimu ndio anakuwa daraja gani na mshahara wake unaanzia shingapi? Kuna kabinti kamemaliza chuo cha ualimu naishi nako nataka niangalie ntachangia kiasi gani kwenye sendoff party.
Usiponijibu sitakununulia bia jumamosi.
Mwalimu aliyemaliza mafunzo ya ualimu anakuwa ni Mwalimu wa Daraja la IIIA kwa ngazi ya cheti,........na inasomeka ni TGTS B1, kwa mshahara wa zamani huyo atapokea Sh 240,800/= na Kwa Mshahara mpya huu wa kuombea uchaguzi wa 2015 atapokea sh 344,000/=
Send off yake kamtunze kodi ya miezi 6.
Na Jumamosi nakuja na Baunsa wangu.
Hakyamama hii serikali hii. Sasa hapo wakimlima kodi, wakalima na sijui bima ya afya na NSSF anabakiwa na shingapi mwalimu wangu?
Serikali imekufanya nini?
Aliekwambia mzae watoto wengi ni nani?
Humuoni Gift na mkewe.......mtoto mmoja na wa nje kwa afya.
we si ulitaka kushindana na huyu![]()
acha uipate sasa na sijui mnalalaje Asprin, hata tundi hamlili kwa nafasi we na mkeo.
Ok huyo binti kwa mshahara wa zamani atapokea Sh laki moja na tisini na kitu na kwa mshahatra mpya atapokea kama laki mbili na sabini.
I rest my case!!!:help::help::help:
Utajiju mwenyewe.....Utajiju......
:hand::hand::hand:....Shimo La Panya Linazibwa Kwa Tofali.....:israel::israel::israel:
Utajiju mwenyewe.....
May The Secret Bring You Love And Joy For Your Entire Existence
Hahaha...., twende tukalale.
Mbuzi Kafia Kwa Muuza Supu![]()
kumbe wewe teacher. nikiwa mkubwa nataka kua km weweMshahara wa zamani ilikuwa ni Sh 740,890/=...........mshahara mpya ni Sh 945,600/= Mpaka 1,034,990/= (Hapa sasa areas yaani vile vipesa vinavyoweka kila mwezi wa 7 na serikali ndio vinahusika)
Ngoja kwanza nipate supu ya pweza:love::love::love:
kumbe wewe teacher. Nikiwa mkubwa nataka kua km wewe
B1: 304,000/=
C1: 432,500/=
D1: 589,000/=
E1: 769,000/=
Walimu ni wito. Unachezea srkali!
Serikali na walimu tuachieni wenyewe huwa tunamalizana vizuri tu. GIGO if you know what I mean
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums