Mshahara mpya ni kichefuchefu kitupu!

Ndugu yangu huyu jamaa ni radio tumbo akishiba tu..sasa kama ana waraka anachoogopa kuweka kitu gan?
Eti? Kulikuwa na haja gani kututangazia kwamba ana waraka wakati anajua kuwa hiyo ni siri ya ofisi yake?
 
Waraka huo ni kwel hakuna alicho danganya. Kama hamwamin ngojeeni July. 1
 
Kama umeamua kutoweka huo waraka hapa, umetuletea hoja hii kwa sababu gani?

Kama ni suala la privacy, kuna kitu kinaitwa WHITEOUT. Basi sehemu ambazo hutaki zisomeke, kama vile majina, unazifuta, una-scan. Kwani watajua ni wewe?

Kumbuka: Kushiriki ufisadi si lazima uwe fisadi, unapofumbia macho ufisadi, nawe unakuwa fisadi.

Nimeeleweka na sifanyi malumbano.
 
Ngoja niwaweke wazi wakuu wenzangu.
Mkuu mkonomtupu ni kweli anayo haki ya kutouweka huu waraka hapa jukwaani kutokana na sababu maalum.
Kwa maana katika huo waraka pale mwisho kabisa pameandikwa "WARAKA HUU HAURUHUSIWI KUWEKWA KATIKA MATANGAZO YOYOTE AU VYOMBO VYOVYOTE VYA HABARI'"
Hivo nafikiri walimaanisha kuwa mpaka kwenye mitandao ya kijamii pia hauruhusiwi.....ila ni kweli ninao huo waraka hapa sasa.
Si unaijua serikali yetu hii kwa....:A S 2152::A S 2152::A S 2152:kama
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu huyu jamaa ni radio tumbo akishiba tu..sasa kama ana waraka anachoogopa kuweka kitu gan?

kwa kuwa amedanganya, hawezi kuweka ushahidi ambao utaonesha uongo wake? hawawezi ongeza kiasi kikubwa kwenye scale ndogo na kupunguza kiwango cha nyongeza kwenye scale kubwa wakati PAYE ni kubwa kadri ngazi ya mshahara inavyokuwa kubwa.
 
Habari hizi ndio ukweli nina waraka lakini sitauweka hapa kwa sababu za privacy
naomba tafadhali sitapenda malumbano lakini am stand to be corrected....
acha mbwembwe, huna waraka wala nini. correct mwenyewe hapo kwenye red.
 


wewe house girl waraka utaupata wapi?
 

'kila mtu ana haki ya kufanya na kusema lile apendalo hivyo hamna sababu ya kumdhihaki na kumsimanga kisa ame-stand on his side kila mtu ana msimamo wake na haki ya kuongea na kufanya lile apendalo sio,mind ur bizness...'
 
Kama ni issue za privacy mbona umeweka hizo figure ambazo ni sehemu ya waraka?
 


kaka waraka we kaa nao tu ila hebu nambie mimi mwenye TGTS Z nimeongezewa ngapi?
 
Sisi wasukuma mikokoteni hayatuhusu hayo yaliyoandikwa kwenye waraka hivyo hata ukificha waraka hatuhangaiki!
 

Upo sahihi mkuu. Nakusahihisha sehemu mbili:
1. Kima cha chini ni kutoka 170,000 hadi 240,000 (siyo 24,000).
2. TGS G umepanda kwa sh. 94,000/= (hukuiweka hii)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…