Mke "Hunny, unajua zile fedha ambazo tulizipata mwishoni mwa mwaka nikadhania ni bonus na tukatumia kwa x, y na z?"
Mume: "ooh yeah nakumbuka"
Mke "Well, kumbe kampuni ilifanya makosa tu na sasa wameamua kunikata kwenye mshahara"
Mume "Really, ndio maana nilishangaa sana; ok angalau hawakufukuzi kazi"
Mke "Yeah, sasa tutapungukiwa kwenye mambo ya ada za shule n.k"
Mume "Oh don't worry hun I'll cover that, ila angalau zilitusave wakati wa Krismass"
hahahahaha
Hahahahah
But here is the problem: Mwamanme hata hajui kuliko na ongezeko na lilitumika vipi na kwanini yeye anaitwa kuokoa jahazi wakati jahazi lilipoondoka bandarini hawakuaga!