Norton82 JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 1,192 Reaction score 1,076 Jul 26, 2017 #1 Kwa wataalamu wa lugha na misemo ya Kiswahili, msemo unaosema "Binamu nyama ya hamu" huwa una maanisha nini? Karibuni kwenye jukwaa kwa michango.
Kwa wataalamu wa lugha na misemo ya Kiswahili, msemo unaosema "Binamu nyama ya hamu" huwa una maanisha nini? Karibuni kwenye jukwaa kwa michango.
steven13 JF-Expert Member Joined Aug 8, 2014 Posts 352 Reaction score 195 Jul 26, 2017 #2 Norton82, "Hainaga ushemeji wanakulaga" ukielewa hii basi na hiyo utakua ushaelewa norton82 Good Neighbour
Norton82, "Hainaga ushemeji wanakulaga" ukielewa hii basi na hiyo utakua ushaelewa norton82 Good Neighbour
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,261 Reaction score 72,421 Jul 26, 2017 #3 steven13 said: "Hainaga ushemeji wanakulaga" ukielewa hii basi na hiyo utakua ushaelewa norton82 Good Neighbour Click to expand... kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
steven13 said: "Hainaga ushemeji wanakulaga" ukielewa hii basi na hiyo utakua ushaelewa norton82 Good Neighbour Click to expand... kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my iPhone 5s using Tapatalk