dr.mussa assad wa udsm aliwahi kuandika makala kwenye gazeti la sundays news kuelezea vihiyo hawa wa elimu.pia unaweza kujiridhia na kwa kumtafuta dr.mussa assad akakupa vielelezo kwani naye kafanya tafiti nyingi juu ya elimu za hao viongozi wetu.
Au tizama mjadala uko hapa jf wenye kichwa cha habari baadhi ya malecturer wa mzumbe wa phd feki including vc wao.
Kwa haya unataka tuelewe kuwa Msemakweli amerepublish kazi ya Dr Assad, je amemuaknowledge au kurecite article ya Assad kijaridani.