Msemaji wa Serikali: Anayetuhumu anaweza kuwa mtuhumiwa namba moja

hata katika mpira maadamu ni ushindani ndio maana anatafutwa refa kutoka mbali na au mkoa tofauti na timu inakotoka wenye Akili wanaelewa
 
Tuanze na Nissan nyeupe ripoti, ziko wapi na za nani, then tusikie walinzi wamedakwa, CCTV camera binge nje ya Geti, namba zilizotumwa za Magari za nani na waweza cleared au chini ya ulinzi. Dereva ahojiwe na tupatiwe mrejesho Mara kwa Mara. Things going tense sio issue ya kupuuzia inaleta picha mbaya kwa nchi.

Pointi yangu kwa yule aliyeleta mada hii ni kuwa vyombo hivyo havikinzani vinafanya kazi pamoja hata kama tatizo limo ndani kwa ndani. Timu ya pamoja huundwa ya vianzo vyote vya ulinzi kumpata mdudu aliye ndani ikiwa yuko ndani mwao. Tatizo humu wengine hawataki kufikiri na kuona mantiki husika na kuchangia inavyopasa.

Ulichosema Kidzude, uchunguzi uendelee na taarifa zitolewe sawa kabisa hasa pale inapobidi kwani haziwezi kutolewa zote mara moja. Kwa mfano Jaji mkuu amesema kitu. Mkuu wa Majeshi amesema kitu hiyo ieleweke kama ni moja ya hatua za kudhibiti tukio.

Tusubiri matokeo ya uchunguzi wa vyombo vyetu vya usalama. Kuna kesi huwa nasikia zinafanywa na mashirika ya upelelezi yakiwa yamechukua miaka 5 ama 10 ndipo yameletwa mahakamani. Subiri mahakamani utasikia vitu na ndipo jamii itajua watu walikuwa wakifanya kazi usiku na mchana.
 
mimi sijashawishika
Yaani huyu msemaji wa serikali amekuwa kama msemaji wa kitchen party. Hajawahi kunishawishi niamini kqamba anajua anacho jibu.
Sasa na wananchi wakisema nae anawjibu juenda anajua kinacho endelea atajibuje?
kuwa msemaji wa serikali anawajibu wananchi,
 
Mbowe Amesema Wanaomba Taasisi Za Nje Za Kichunguzi Zitumike,hatuna Imani Na Serikali Ktk Hili Wao Niwatuhumiwa Na Mtuhumiwa Hawezi Kujichunguza Mwenyewe
Kumbuka hii nchi sio taasisi yaani kila mtu analolisema litekelezwe tu
 
Hata tuhuma za wendawazimu wakati mwingine huwa zina ukweli, kwanini tupuuzie tuhuma za watu wenye akili timamu? Kutuhumu/tuhuma ni mwanzo wa kupata taarifa sahihi? Hata uchunguzi wa kiintelijensia hauwezi fanya uchunguzi bila kuwa na tuhuma kwanza.
 
Hapa wale wenye akili hata kama ni CCM au sehemu ya Serikali wamechagua kukaa kimya maana kuongea ni kujidharirisha na na watu waneweza kuanza kufikiria upeo Wa akili yako, kulingana na mazingira ya tukio lenyewe. Wenye akili hautawasikia wakipaza sauti kuitetea Serikali Bali wamechagua kukaa kimya maana kubwatuka kama akina Happi, Makonda, Jerry Muro pamoja na Wale Buku saba ni kuendelea kujidharirisha na utaishia kuitwa majina mengi ya dharau
 
Pointi yangu kwa yule aliyeleta mada hii ni kuwa vyombo hivyo havikinzani vinafanya kazi pamoja hata kama tatizo limo ndani kwa ndani. Timu ya pamoja huundwa ya vianzo vyote vya ulinzi kumpata mdudu aliye ndani ikiwa yuko ndani mwao. Tatizo humu wengine hawataki kufikiri na kuona mantiki husika na kuchangia inavyopasa.

Ulichosema Kidzude, uchunguzi uendelee na taarifa zitolewe sawa kabisa hasa pale inapobidi kwani haziwezi kutolewa zote mara moja. Kwa mfano Jaji mkuu amesema kitu. Mkuu wa Majeshi amesema kitu hiyo ieleweke kama ni moja ya hatua za kudhibiti tukio.

Tusubiri matokeo ya uchunguzi wa vyombo vyetu vya usalama. Kuna kesi huwa nasikia zinafanywa na mashirika ya upelelezi yakiwa yamechukua miaka 5 ama 10 ndipo yameletwa mahakamani. Subiri mahakamani utasikia vitu na ndipo jamii itajua watu walikuwa wakifanya kazi usiku na mchana.
sawa lakini wanaohisiwa they should be smart, kuna vitu ni vya ajabu mno kufanywa. Let people pray for him, waongee, kuactbptomptly like matibabu, kusionekana double standard. Viongozi waachane na kukurupuka vyombo vya habari Mara twiter. Watulie sio kila jambo ni la kujibu. Kuna classified info na jingine for national interest
 
Kwa maandiko ya waliowengi wanaojiita "wazalendo" wa nchi hii wakiongozwa na mwenyekiti wao, ni dhahiri visomo vimeanza kufanya kazi.

Wiki mbili baada ya tukio la kupigwa risasi Mh Lissu, akajitokeza waziri wa afya kuja kuitetea taasisi yao lakini akaboronga na baadhi ya maneno katika hotuba yake. Maneno yaliyoibua hisia kali kwa wananchi tulio wengi. Ni maneno ambayo naamini haikuwa kwa mapenzi yake bali ilibidi iwe vile ili uongo ujitenge na ukweli na tuwajue kwa matendo na maneno yao (Naita ni mpango wa Mungu na kujibiwa kwa maombi na visomo vilivyofanyika na kila aliyefanya kwa imani yake).

Amejitokeza Msaidizi mwingine wa ile taasisi kubwa, nae akaandika upupu huu kwenye mitandao ya kijamii "Watu wasio na hatia walikua wanauawa Kibiti. Ila hamkupaza sauti za michango wala kudai uchunguzi wa kimataifa. Shame"ASH. Ukiitizama kauli yake ina ukakasi sana. Sina elimu, ila ufahamu wangu mdogo, msaidizi na mtetezi anataka kuuaminisha umma kwamba Mh. Lissu yupo na hatia and ana-deserve kufanyiwa aliyofanyiwa. Kuweka kumbukumbu sawa na kumsaidia msaidizi wa namba moja, nakumbuka suala hili lilipigwa stop kuzungumziwa au kujadiliwa ndani ya Bunge.

Ukiangalia maandiko ya kila siku yanayobandikwa humu kuhalalisha upigwaji risasi wa Lissu utagundua kuna kitu kimejificha katika utetezi wao na mwisho wa siku kwenye thread zao utaona kitu kinachoonyesha jamaa wana mkono katika kazi hiyo. Kumekuwa na theories nyingi zenye majibu ya wazi kabisa ila nadhani mameamua kujitoa ufahamu.

Kichekesho sana, CHADEMA wahusike kwenye njama ya mauaji ya Lissu halafu wao wenyewe watake wachunguzi huru wa kimataifa???

Nimalize kwa kusema kwa sisi wenye imani, ki-Biblia, kinachotokea siyo kigeni. Yalipata kutokea wakati wa kujenga mnara wa Babeli. Mungu aliwachanganya na akawafanya kila mmoja aanze kunena kwa lugha yake. Ndicho kinachotokea sasa kwenye utetezi wa Mh. Lissu. Kuna watu wanajua kabisa kwa kusema hivi wanafanya kusafisha kumbe badala yake Mungu ameamua kuweka attachment ya maneno yake kwa kila kauli au andiko watakalolitoa. Na kukaa kimya hawatoweza kwa sababu si kwa nguvu yao.

Mungu Ibariki Tanzania. Mungu mpe afya njema Mh. Lissu . Naambatanisha maombi yangu na neno kutoka Zaburi 109
 
Kwa maandiko ya waliowengi wanaojiita "wazalendo" wa nchi hii wakiongozwa na mwenyekiti wao, ni dhahiri visomo vimeanza kufanya kazi.

Wiki mbili baada ya tukio la kupigwa risasi Mh Lissu, akajitokeza waziri wa afya kuja kuitetea taasisi yao lakini akaboronga na baadhi ya maneno katika hotuba yake. Maneno yaliyoibua hisia kali kwa wananchi tulio wengi. Ni maneno ambayo naamini haikuwa kwa mapenzi yake bali ilibidi iwe vile ili uongo ujitenge na ukweli na tuwajue kwa matendo na maneno yao (Naita ni mpango wa Mungu na kujibiwa kwa maombi na visomo vilivyofanyika na kila aliyefanya kwa imani yake).

Amejitokeza Msaidizi mwingine wa ile taasisi kubwa, nae akaandika upupu huu kwenye mitandao ya kijamii "Watu wasio na hatia walikua wanauawa Kibiti. Ila hamkupaza sauti za michango wala kudai uchunguzi wa kimataifa. Shame"ASH. Ukiitizama kauli yake ina ukakasi sana. Sina elimu, ila ufahamu wangu mdogo, msaidizi na mtetezi anataka kuuaminisha umma kwamba Mh. Lissu yupo na hatia and ana-deserve kufanyiwa aliyofanyiwa. Kuweka kumbukumbu sawa na kumsaidia msaidizi wa namba moja, nakumbuka suala hili lilipigwa stop kuzungumziwa au kujadiliwa ndani ya Bunge.

Ukiangalia maandiko ya kila siku yanayobandikwa humu kuhalalisha upigwaji risasi wa Lissu utagundua kuna kitu kimejificha katika utetezi wao na mwisho wa siku kwenye thread zao utaona kitu kinachoonyesha jamaa wana mkono katika kazi hiyo. Kumekuwa na theories nyingi zenye majibu ya wazi kabisa ila nadhani mameamua kujitoa ufahamu.

Kichekesho sana, CHADEMA wahusike kwenye njama ya mauaji ya Lissu halafu wao wenyewe watake wachunguzi huru wa kimataifa???

Nimalize kwa kusema kwa sisi wenye imani, ki-Biblia, kinachotokea siyo kigeni. Yalipata kutokea wakati wa kujenga mnara wa Babeli. Mungu aliwachanganya na akawafanya kila mmoja aanze kunena kwa lugha yake. Ndicho kinachotokea sasa kwenye utetezi wa Mh. Lissu. Kuna watu wanajua kabisa kwa kusema hivi wanafanya kusafisha kumbe badala yake Mungu ameamua kuweka attachment ya maneno yake kwa kila kauli au andiko watakalolitoa. Na kukaa kimya hawatoweza kwa sababu si kwa nguvu yao.

Mungu Ibariki Tanzania. Mungu mpe afya njema Mh. Lissu . Naambatanisha maombi yangu na neno kutoka Zaburi 109
Hata CDF bila Aibu alitoa mfano wa kibiti na Lisu na waombe lisu asipone mapema maana akipona atakuja kuwapa majibu mazuria ambayo yatawafanya kupata Aibu kubwa, ikumbukwe kibiti serikali ilipiga marufuku vyombo vya habari kutangaza kwa sababu iliwapa nguvu wauaji wakaacha kutangaza ndiyo maana mataifa mengiine hayakuingilia na polisiccm waliouawa hakukuwa na kelele za kimataifa kwa sababu serikali yenyewe haikutaka itabgazwe sana, Mifano ya kibiti inatumika kuidhinisha unyama dhidi ya Lisu kwa maana ingine watuhumiwa ni huyo msemaji na wale wote wasotaka Lisu atetewe na vyombo vya kimataifa wakija FBI mtuhumiwa wa kwanza kuhojiwa yafaa awe huyo huyo msemaji ndipo Ukweli utaanza kujulikana.
 
Mkuu wa majeshi ana hakika tulikuwa hatuumii na yaliyo kuwa yanaendelea kibiti hakusikia hata masikitiko yetu huyu babu
 
Back
Top Bottom