meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Hayo ni maneno ya Serikali!!
wamejichanganyaje?Kwenye kwa hili serikali imejichanganya sana lishawafia mana hakuna namna wanaendelea kujichanganya tu hiyo ndo shida ya kufanyakazi kwa kumfurahisha mtu.
Umeambiwa mtoa povu ndio anaweza kuwa mtuhumiwa!!Si ndiyo maana kunaitishwa uchunguzi huru mkuu ili tusituhumiane kwani ukweli na ukweli halisi ndiyo tutakoupata tokea katika chunguzi za namna hii.
Kwa nini tutoleane mapovu wakati culprits wanaweza kufahamika kupitia uchunguzi huru.
Mnatuchanganya mnapotaka busara itumike -- busara ipi zaidi ya uchunguzi huru?
wamejichanganyaje?
Ndio maana wanataka wapeleleziHayo ni maneno ya Serikali!!
View attachment 593666
Umeambiwa mtoa povu ndio anaweza kuwa mtuhumiwa!!
Meningitis ni ugonjwa mbaya sana.. Kwa kiswahili ni ugonjwa wa uti wa mgongo unaambukiza sana... Unaweza kuanzia hata kwa wanyama kama ng'ombe... Mwaka 1990 uliipiga Tanzania na mikoa kibao ikawekwa chini ya 'karantini'Ndio maana wanataka wapelelezi
HURU...
Kila mmoja ni wajibu kuongea lake...sioni mchanganyoUmmy,jaji,ndugai,siro hao kila mtu anaongea lake
lini hiyo waliikana?Fake News hawa jamaa walishawahi kuikana akaunti hii, siwaamini tena.
Basi sawa.Kila mmoja ni wajibu kuongea lake...sioni mchanganyo
Anamsema sasa Boss wake mkuu wa nyumba nyeupe maana kila hotuba anatuhumu watu... kwa Tweet ya msemaji wa Serikali raisi ndie anayeongeza kutuhumu watu... huyu Msemaji siku zake si Nyingi utawala wa Kazi tuHayo ni maneno ya Serikali!!
View attachment 593666