Msemaji wa Serikali: Anayetuhumu anaweza kuwa mtuhumiwa namba moja

Meningitis ni ugonjwa mbaya sana.. Kwa kiswahili ni ugonjwa wa uti wa mgongo unaambukiza sana... Unaweza kuanzia hata kwa wanyama kama ng'ombe... Mwaka 1990 uliipiga Tanzania na mikoa kibao ikawekwa chini ya 'karantini'
Nahofia tuna reincarnation yake
Kuna thread moja humu ilitaka inapoonekana nabii au kiongozi ana irrelevancies nyingi katika maamuzi,apimwe afya. Ilitolewa mfano wa Yahya Jameh na kansa ya ubongo vs maamuzi ya kung'ang'ania madaraka
 
Ulisikia wapi nchi ikaita makachero wa nje kuwasaidia upelelezi wa ndani na wakafanikiwa? Kenya waliita Troon toka Scotland Yard matokeo gani yalipatikana? Makachero wa nje huja kwa masuala yanayohusu nchi husika yaliyotokea Katika nchi ya pili.. Siyo kila kitu tu "tuite makachero wa nje". Mnajua state inavyokua governed?
Unadhani Sirro anaweza kuichunguza TISS?
JIONGEZE KIDOGO
 
Vipi kwenye chama chetu pendwa ambacho kinaongozwa ki falme? kuna mwenye maamuzi zaidi Ya kiongozi wa kudumu?.
Nyani haoni kundule
Maamuzi yapo mbona Lisu alikuwa akipiga kazi vizuri hata wengine wanapiga kazi acha kuwa Upande wa wauaji utachuma dhambi zaidi ya hizo ulizojilundikia
 
Mbowe Amesema Wanaomba Taasisi Za Nje Za Kichunguzi Zitumike,hatuna Imani Na Serikali Ktk Hili Wao Niwatuhumiwa Na Mtuhumiwa Hawezi Kujichunguza Mwenyewe
Hizo gharama za kuleta hizo taasisi za uchunguzi kutoka nje atalipa Mbowe!? Kama fedha ya matibabu tu inaleta ukakasi mpaka sasa, Je hii ya hili kuleta wachunguzi!?
Kwanza, unajua taratibu za kuleta hivyo vyombo vya uchunguzi kutoka nje? Au unafikiri ni sawa na kumleta Braza K wa FUTUHI kutoka Mwanza aje kufanya onyesho Dar Live?
 
Msemaji hana vyeti yupo kama Bashite Maliyamungu ndiyo maana anafanya kazi kwa kujipendekeza kwa Maliyamungu na Mtukufu.
Mkuuu unaikumbuka ile issue iliyompoteza Ben Saa8.....Jon ni zero kichwani ndomaana hata kupangilia speech hawezi....kaz kuropoka tu na kutisha watu.....
Eti Dokta jp...ngeli yenyewe shida.....
 
Maamuzi yapo mbona Lisu alikuwa akipiga kazi vizuri hata wengine wanapiga kazi acha kuwa Upande wa wauaji utachuma dhambi zaidi ya hizo ulizojilundikia
muuaji ni huyo anayekulipa uje humu kupiga propaganda kinzani na wewe kwa uboya wako unalibeba kama lilivyo. kwakuwa akili zako umempa huyo muuaji akushikie Tumia kipande kidogo cha akili alichokuachia "tobehave your age"
 
Atakayegoma wachunguzi huru mfano Scotland yard ndio mhusika wa shambulio la Lissu,hauhitaji ata degree
halafu nyie na mwenyekiti wenu huwa wapumbavu kweli,yaani mnalazimisha ijd agency ya nje kuja kutupekua humu!?wao walpekuliwa na nani?kwa umuhimu UPI!?mbona chacha wangwe hamkuomba wake wapekuzi wa nje?
 
Unadhani Sirro anaweza kuichunguza TISS?
JIONGEZE KIDOGO
FBI inaweza kuichunguza CIA? SA Police kuichunguza BOSS? Unajua internal security za nchi zinavyofanya kazi? Unajua wapi zinakutana na wapi zinaachana? Wewe ndiye wa kujiongeza. Kachero toka nje no! Hawa hawa wa ndani wachunguze wataleta majibu. Hilo ndilo endelevu kwa usalama wa nchi. JF imepoteza great thinking!
 
Kama kweli anaewatuhumu wenzake, yawezekana akawa mtuhumiwa namba moja, nyinyi kama serikali, mngetoa vibali ili international investigation kama vile Scotland yard na mengineyo yaje... Hapo ndipo ukweli utabainika
 
FBI inaweza kuichunguza CIA? SA Police kuichunguza BOSS? Unajua internal security za nchi zinavyofanya kazi? Unajua wapi zinakutana na wapi zinaachana? Wewe ndiye wa kujiongeza. Kachero toka nje no! Hawa hawa wa ndani wachunguze wataleta majibu. Hilo ndilo endelevu kwa usalama wa nchi. JF imepoteza great thinking!
Tuanze na Nissan nyeupe ripoti, ziko wapi na za nani, then tusikie walinzi wamedakwa, CCTV camera binge nje ya Geti, namba zilizotumwa za Magari za nani na waweza cleared au chini ya ulinzi. Dereva ahojiwe na tupatiwe mrejesho Mara kwa Mara. Things going tense sio issue ya kupuuzia inaleta picha mbaya kwa nchi.
 
Yaani huyu msemaji wa serikali amekuwa kama msemaji wa kitchen party. Hajawahi kunishawishi niamini kqamba anajua anacho jibu.
Sasa na wananchi wakisema nae anawjibu juenda anajua kinacho endelea atajibuje?
 
Back
Top Bottom