Msema kweli ni Mpenzi wa mungu.

Msema kweli ni Mpenzi wa mungu.

Wewe mzee umenoga kipesa ila nadhani round zijazo na wewe utakuwa kama Tajiri Shetani..wewe unataka mjomba ako akamatie chini kwa chini kama mwendo wa singeli...hapa nilipo nipo posta tangu saa kumi na mbili asubuhi nipo kwa ajili ya mapambano ya hapa kazi tu ya kupata nauri na kuoga

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hapo siku yako itaanza vizuri ukisikia kakipigwa kale kanyimbo ketu ka chaguo letu wenyewe, mnune na mpasukeee, sasaaa waisoma namba eeeenh hhhhhhhh, sisiemu mbele kwa mbeleeeee.
Mkuu mimi sijanoga wala nini yaani hapa nilipo ni zaidi hata ya shetani, ila hii hali inanifurahisha sana natamani iendelee ili watu wawe na adabu na pia waache roho mbaya, maana wakati kamtaji kangu ka duka kalivyokua kanaanza kukata watu walikua wanachekelea kwelikweli na maneno machafu machafu yanawatoka, ila sasa hivi wao ndio wanalia kilio cha mbwa koko.

Maendeleo hayana chama
 
We unaishi states mkuu?
Watanzania Wengi ni wajinga sana!
Si mlishangilia kipindi Jamaa anasema atashusha matajiri waishi kama mashetani!
Hata theory za uchumi zinakataa kabisa kama ili umpandishe huyu masikini basi lazma umshushe tajiri! HAKUNA KITU KAMA HICHO DUNIANI KOTE!
Sasa wanaoongoza kwa kulalamika ni wale wale waliokuwa wanashangilia watu kushushwa!
Mi nasemaje!
Jamaa aendelee kukaza ili watanzania tuache unafiki
 
Hahah kwahio ma business na mabiashara hayaendi kabisa sahivi?
 
Hahah kwahio ma business na mabiashara hayaendi kabisa sahivi?
Mjomba ukitaka kujuwa biashara haziendi jaribu kumkopa mtu anaefanya kazi serikalini mwambie utamlipa mwisho wa mwezi...Utamskia mimi mwenyewe sijapata mshahara wa mwezi uliopita au kama kapata anakwambia hana uhakika na mwisho wa mwezi kama atapata....Ndiyo mana nakwambia kale ka wimbo kana mafumbo mengi hebu nikatafute niandike mashairi yake humu ili tuka chambuwe kwa kinaga ubaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni mwanzo tu Mungu alituamlisha tufanye yanayo mpendeza Basi ataturuzuku Kama ndege

Sasa kabla ujasema njaa Vipi uishi na kimada? Ufanyi yanayo mchukiza Mungu? Kaa jifikirie vizuri

Acha Kumpa kiumbe cheo cha uungu huyo Mjomba Hana jeuri Ya kukupa rizki Wewe, Hana madhara wala Hana Manufaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni mwanzo tu Mungu alituamlisha tufanye yanayo mpendeza Basi ataturuzuku Kama ndege

Sasa kabla ujasema njaa Vipi uishi na kimada? Ufanyi yanayo mchukiza Mungu? Kaa jifikirie vizuri

Acha Kumpa kiumbe cheo cha uungu huyo Mjomba Hana jeuri Ya kukupa rizki Wewe, Hana madhara wala Hana Manufaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
(i).Mkuu ndege mimi sijaizungumzia nataka ndege zaidi na mengineyo mengi...

(ii).Mkuu mimi ni mwanaume lazima niwe na demu na watoto nipambane ili niweze kukidhi mahitaji ya family na mambo mengine ya msingi,,,,Sasa wewe mtu nakula kila siku na homoni zinafanya kazi utani niwe na manzi kwa umri nilio nao lazima niwe na mwenzangu

(iii).Simpi cheo kuku wowote ni sawa kuwa na DEREVA MWENDAWAZIMU mnapokuwa safarini mkamuuzi anaweza kuendesha gari kwa fujo mwishowe anaweza kuwauwa wote....
Hii safari ni yetu sote na hakuna alie bora japokuwa tunamtegemea DEREVA mmoja katika watu wengi ili tufike salama.
na ikumbukwe kwamba kila dereva huwa uteuliwa au kupewa dhamana na abiria au mwenye Chombo chake ...hapo sasa ukiwa kama abiria huwezi kuingilia mamlaka ya kuendesha chombo ambacho hujakabidhiwa....LAZIMA TUWE WAPOLE NA WANYONGE NA UNYENYEKEVU ILI SAFARI YETU IFIKE SALAMA........

Si nyenyekei wala sitii huruma mimi nataka alegeze uzi ili sisi tusife mapema kwa mana GARI LIKIPATA AJALI NA YEYE ATAKUWA HUMO HUMO
 
Watanzania Wengi ni wajinga sana!
Si mlishangilia kipindi Jamaa anasema atashusha matajiri waishi kama mashetani!
Hata theory za uchumi zinakataa kabisa kama ili umpandishe huyu masikini basi lazma umshushe tajiri! HAKUNA KITU KAMA HICHO DUNIANI KOTE!
Sasa wanaoongoza kwa kulalamika ni wale wale waliokuwa wanashangilia watu kushushwa!
Mi nasemaje!
Jamaa aendelee kukaza ili watanzania tuache unafiki
Wee ngushi wewe!
Maangush@!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom