Msema kweli ni Mpenzi wa mungu.

BuletAngle

JF-Expert Member
Apr 15, 2017
689
555
Jamani msema kweli ni mpenzi wa mungu....

Siamini kama kujitahidi kote kuwahi kuamka na kuoga kila kukuchapo na kuwahi officen lakini mambo ni Bila bila ,,,
NJaa inazidi kuwa kali upande wangu ,, Japokuwa mimi ni mwenye kujituma sana katika utafutaji wapesa ila kwa sasa nimeamuwa kuwa mkweli
HALI YA PESA KATIKA MZUNGUKO WA KIBIASHARA NI KISANGA,,,

Maduka mengi ya mjini posta na movement ya watu imepunguwa pamekuwa peupe pee maduka mengi mageti yamefungwa,,
majengo mengi yapo matupu mjini kweupe kama paja la mzungu,,,

maneno yote yamenitoka ila point ya msingi ni .... Njaa inazidi kuwa kali mifuko imekauka MJOMBA TUSAMEHE KAMA TULIKUKOSEA .
wale matajiri kuishi kama mashetani nilidhani kuwa wao wakiwa mashetani sisi wa hali ya chini tutakuwa malaika kumbe imekuwa ndivyo sivyo
MATAJIRI NA MASKINI WOTE TUNAISOMA NUMBER..


Upande wa nyumbani napo unahisi ukifika utakuwa salama atleast unaweza kupata faraja japo upate hata usingizi inakuwa tofauti mambo yani NO MONEY NO LOVE maisha ya wasiwasi kama unaogea nnje pamoja na kujikwamua kote kuamka na kutafuta kwa bidii unaweza kuambulia nauri ya kuja town na kurudi home dah kwakweli naomba niwaombee msamaha au kama vipi na mimi NARUDI NYUMBANI nahisi naweza kupata ugali wa baba pale magogoni.
 
Watanzania Wengi ni wajinga sana!
Si mlishangilia kipindi Jamaa anasema atashusha matajiri waishi kama mashetani!
Hata theory za uchumi zinakataa kabisa kama ili umpandishe huyu masikini basi lazma umshushe tajiri! HAKUNA KITU KAMA HICHO DUNIANI KOTE!
Sasa wanaoongoza kwa kulalamika ni wale wale waliokuwa wanashangilia watu kushushwa!
Mi nasemaje!
Jamaa aendelee kukaza ili watanzania tuache unafiki
 
Watanzania Wengi ni wajinga sana!
Si mlishangilia kipindi Jamaa anasema atashusha matajiri waishi kama mashetani!
Hata theory za uchumi zinakataa kabisa kama ili umpandishe huyu masikini basi lazma umshushe tajiri! HAKUNA KITU KAMA HICHO DUNIANI KOTE!
Sasa wanaoongoza kwa kulalamika ni wale wale waliokuwa wanashangilia watu kushushwa!
Mi nasemaje!
Jamaa aendelee kukaza ili watanzania tuache unafiki
Lakini pia mliambia kuwa wale watakao teseka ni wale waliozoea pesa za madili; kwa kifupi wale ambao kazi zao hazieleweki lakini walikuwa wakionekana wanakula bata tu.
 
Lakini pia mliambia kuwa wale watakao teseka ni wale waliozoea pesa za madili; kwa kifupi wale ambao kazi zao hazieleweki lakini walikuwa wakionekana wanakula bata tu.
Ukiona nchi ina kiongozi akipata tu bar akiona watu wanakula bata roho inamuuma huyo hafai kuwa kiongozi!
Hata uchumi uwe mbaya vip wala bata watakuwepo tu!
Zimbabwe licha ya uchumi wao kuwa wa hovyo ila wapo wanaokula bata daily!
Busara ilikua ni kubuni mbinu ya kuwakwamua hao wanyonge ila sio kumsusha kibopa!
 
Watanzania Wengi ni wajinga sana!
Si mlishangilia kipindi Jamaa anasema atashusha matajiri waishi kama mashetani!
Hata theory za uchumi zinakataa kabisa kama ili umpandishe huyu masikini basi lazma umshushe tajiri! HAKUNA KITU KAMA HICHO DUNIANI KOTE!
Sasa wanaoongoza kwa kulalamika ni wale wale waliokuwa wanashangilia watu kushushwa!
Mi nasemaje!
Jamaa aendelee kukaza ili watanzania tuache unafiki

Mkuu wewe naona yamekunyookea mimi nilifata ile kauli ya Raisi wa wanyonge nikaona neema si ndiyo hii
 
Mkuu wewe naona yamekunyookea mimi nilifata ile kauli ya Raisi wa wanyonge nikaona neema si ndiyo hii
Nikisema yameninyookea nitakua Muongo mkuu!
Ila mi nakumbuka tuligombana na rafiki zangu wa karibu kabisa hayo mambo yakusema yeye rais wa wanyonge halafu ana wa shughulkia matajiri!
Masikini tukapiga kelele weeee! Tukaambiwa wapiga dili .....
 
Nikisema yameninyookea nitakua Muongo mkuu!
Ila mi nakumbuka tuligombana na rafiki zangu wa karibu kabisa hayo mambo yakusema yeye rais wa wanyonge halafu ana wa shughulkia matajiri!
Masikini tukapiga kelele weeee! Tukaambiwa wapiga dili .....
Na humu jukwaani kulikua na kauli za shombo kwelikweli, yaani kila tulivyokua tunaelezea biashara haziendi ni full kushambuliwa kua sisi ni wapiga dili, wakwepa kodi na maneno kibao ya kuudhi.
Ila sasa hivi saaafi kabisa kila mtu ni kilio, unapofurahia matajiri kuishi kama mashetani basi tambua maskini nae ataishi kama ibilisi.

Maendeleo hayana chama
 
Na humu jukwaani kulikua na kauli za shombo kwelikweli, yaani kila tulivyokua tunaelezea biashara haziendi ni full kushambuliwa kua sisi ni wapiga dili, wakwepa kodi na maneno kibao ya kuudhi.
Ila sasa hivi saaafi kabisa kila mtu ni kilio, unapofurahia matajiri kuishi kama mashetani basi tambua maskini nae ataishi kama ibilisi.

Maendeleo hayana chama
Mkuu nilikuwa nimelogwa nahisi wakati nashabikia mambo yale ..Najuuuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nilikuwa nimelogwa nahisi wakati nashabikia mambo yale ..Najuuuta

Sent using Jamii Forums mobile app
Saaaafi saaana kama na wewe ulikua ni miongoni mwa wale mashabiki, kiroho safi kabisa nakuombea uzidi kuisoma namba vizuri tena uisome kwa herufi kubwa ili siku nyingine mue mnapunguza viherehere watu wanapozungumzia uhalisia wa mambo jinsi yanavyoenda.
Barikiwa sana mkuu,

Maendeleo hayana chama
 
Na humu jukwaani kulikua na kauli za shombo kwelikweli, yaani kila tulivyokua tunaelezea biashara haziendi ni full kushambuliwa kua sisi ni wapiga dili, wakwepa kodi na maneno kibao ya kuudhi.
Ila sasa hivi saaafi kabisa kila mtu ni kilio, unapofurahia matajiri kuishi kama mashetani basi tambua maskini nae ataishi kama ibilisi.

Maendeleo hayana chama
Sasa hivi hizo kauli za shombo zote zimerudi feri .. watu wote wanalia kilio cha aina Moja ... aliyesema wakati ni mwalimu mzuri hakuwahi kukosea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saaaafi saaana kama na wewe ulikua ni miongoni mwa wale mashabiki, kiroho safi kabisa nakuombea uzidi kuisoma namba vizuri tena uisome kwa herufi kubwa ili siku nyingine mue mnapunguza viherehere watu wanapozungumzia uhalisia wa mambo jinsi yanavyoenda.
Barikiwa sana mkuu,

Maendeleo hayana chama
Haha haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani msema kweli ni mpenzi wa mungu....

Siamini kama kujitahidi kote kuwahi kuamka na kuoga kila kukuchapo na kuwahi officen lakini mambo ni Bila bila ,,,
NJaa inazidi kuwa kali upande wangu ,, Japokuwa mimi ni mwenye kujituma sana katika utafutaji wapesa ila kwa sasa nimeamuwa kuwa mkweli
HALI YA PESA KATIKA MZUNGUKO WA KIBIASHARA NI KISANGA,,,

Maduka mengi ya mjini posta na movement ya watu imepunguwa pamekuwa peupe pee maduka mengi mageti yamefungwa,,
majengo mengi yapo matupu mjini kweupe kama paja la mzungu,,,

maneno yote yamenitoka ila point ya msingi ni .... Njaa inazidi kuwa kali mifuko imekauka MJOMBA TUSAMEHE KAMA TULIKUKOSEA .
wale matajiri kuishi kama mashetani nilidhani kuwa wao wakiwa mashetani sisi wa hali ya chini tutakuwa malaika kumbe imekuwa ndivyo sivyo
MATAJIRI NA MASKINI WOTE TUNAISOMA NUMBER..


Upande wa nyumbani napo unahisi ukifika utakuwa salama atleast unaweza kupata faraja japo upate hata usingizi inakuwa tofauti mambo yani NO MONEY NO LOVE maisha ya wasiwasi kama unaogea nnje pamoja na kujikwamua kote kuamka na kutafuta kwa bidii unaweza kuambulia nauri ya kuja town na kurudi home dah kwakweli naomba niwaombee msamaha au kama vipi na mimi NARUDI NYUMBANI nahisi naweza kupata ugali wa baba pale magogoni.
Bado 2020 mtampa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom