masikini tulipiga makofi na kushangiria baada ya huu msemo tukasahau kwamba tembo hakondi kama sunguraWatanzania Wengi ni wajinga sana!
Si mlishangilia kipindi Jamaa anasema atashusha matajiri waishi kama mashetani
masikini tulipiga makofi na kushangiria baada ya huu msemo tukasahau kwamba tembo hakondi kama sunguraWatanzania Wengi ni wajinga sana!
Si mlishangilia kipindi Jamaa anasema atashusha matajiri waishi kama mashetani
😂😂😂😂😂😂masikini tulipiga makofi na kushangiria baada ya huu msemo tukasahau kwamba tembo hakondi kama sungura
Na iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama yake!Saaaafi saaana kama na wewe ulikua ni miongoni mwa wale mashabiki, kiroho safi kabisa nakuombea uzidi kuisoma namba vizuri tena uisome kwa herufi kubwa ili siku nyingine mue mnapunguza viherehere watu wanapozungumzia uhalisia wa mambo jinsi yanavyoenda.
Barikiwa sana mkuu,
Maendeleo hayana chama
Jamaa kashikilia nganganga kudadeki tatizo wale mashetani bado nawaona wapo kulekule juu mimi ndiyo najiona maji ya shingo yamenifikaEti braza kaka, Laki Si Pesa Milioni aitasaidia, huko kwenu bado unawasikia? Wacha nishuke Meridiani japo ninywe bia 5
Jamaa kashikilia nganganga kudadeki tatizo wale mashetani bado nawaona wapo kulekule juu mimi ndiyo najiona maji ya shingo yamenifika
Sent using Jamii Forums mobile app
tena akaze mpaka ikatike akili zutukae sawaWatanzania Wengi ni wajinga sana!
Si mlishangilia kipindi Jamaa anasema atashusha matajiri waishi kama mashetani!
Hata theory za uchumi zinakataa kabisa kama ili umpandishe huyu masikini basi lazma umshushe tajiri! HAKUNA KITU KAMA HICHO DUNIANI KOTE!
Sasa wanaoongoza kwa kulalamika ni wale wale waliokuwa wanashangilia watu kushushwa!
Mi nasemaje!
Jamaa aendelee kukaza ili watanzania tuache unafiki
Naunga mkono hoja hapa bado kabisa azidi kuikaza hadi watu watembee uchi barabarani na kuanza kuokota makopo kwa kuchanganyikiwa... 2015 nikiwa mkoa fulani kikazi na kazi yangu haikuniruhusu kujihusisha na siasa wala kupiga kura niliona masikini wengi sana wakishangilia kauli za kipumbavu za wanasiasa na za kebehi kwa matajiri nikaishia kutingisha kichwa kwa huzuni. Watu wale waliokua wakishangilia ndio wanalia kilio cha mbuzi sasa hivi, Mimi binafsi nasemaje "Baba Magufuli bado hali ni nzuri mitaani endelea kukazaaaaaa hadi tukumbuke vijijini kwetu kwa wale tuliolowea mijini"tena akaze mpaka ikatike akili zutukae sawa
Ha ha haa tukitembea uchi wote sasa si tutawatisha hata wanyama mwitu?..lolNaunga mkono hoja hapa bado kabisa azidi kuikaza hadi watu watembee uchi barabarani na kuanza kuokota makopo kwa kuchanganyikiwa... 2015 nikiwa mkoa fulani kikazi na kazi yangu haikuniruhusu kujihusisha na siasa wala kupiga kura niliona masikini wengi sana wakishangilia kauli za kipumbavu za wanasiasa na za kebehi kwa matajiri nikaishia kutingisha kichwa kwa huzuni. Watu wale waliokua wakishangilia ndio wanalia kilio cha mbuzi sasa hivi, Mimi binafsi nasemaje "Baba Magufuli bado hali ni nzuri mitaani endelea kukazaaaaaa hadi tukumbuke vijijini kwetu kwa wale tuliolowea mijini"
haswaaaaa dawa mbona haijaingia badoNaunga mkono hoja hapa bado kabisa azidi kuikaza hadi watu watembee uchi barabarani na kuanza kuokota makopo kwa kuchanganyikiwa... 2015 nikiwa mkoa fulani kikazi na kazi yangu haikuniruhusu kujihusisha na siasa wala kupiga kura niliona masikini wengi sana wakishangilia kauli za kipumbavu za wanasiasa na za kebehi kwa matajiri nikaishia kutingisha kichwa kwa huzuni. Watu wale waliokua wakishangilia ndio wanalia kilio cha mbuzi sasa hivi, Mimi binafsi nasemaje "Baba Magufuli bado hali ni nzuri mitaani endelea kukazaaaaaa hadi tukumbuke vijijini kwetu kwa wale tuliolowea mijini"
Sasa wazee wenzangu mnataka Tufee ..kwa mana maji yeshamwagika hapa tulipo tuna hesabu mzunguko round zikiisha si basi ...ila mimi nimesema Ujinga wakati wa kwenda Sio kurudi.haswaaaaa dawa mbona haijaingia bado
Ndiyo mambo nayojutia hayo hata aliposema hakuna chakula cha msaada kwa wenzetu Tukaambiwa Serikali haitoi Chakula cha MSAADA matokeo yake ndiyo hayo ya ZimbabweMsiwe na wasiwasi sasa hivi tupo pazuli, tupo kwenye raiti traki
Si mmejionea wenyewe tumeshakua dona kantri, nchi zote masikini tunazipa chakura bureee kama hauamini waulize Zimbabwe.
Maendeleo hayana chama
Mfanye kazi, serikali ya sisiemu haikuleta tetemeko.Ndiyo mambo nayojutia hayo hata aliposema hakuna chakula cha msaada kwa wenzetu Tukaambiwa Serikali haitoi Chakula cha MSAADA matokeo yake ndiyo hayo ya Zimbabwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mzee umenoga kipesa ila nadhani round zijazo na wewe utakuwa kama Tajiri Shetani..wewe unataka mjomba ako akamatie chini kwa chini kama mwendo wa singeli...hapa nilipo nipo posta tangu saa kumi na mbili asubuhi nipo kwa ajili ya mapambano ya hapa kazi tu ya kupata nauri na kuogaMfanye kazi, serikali ya sisiemu haikuleta tetemeko.
Yaani hapa natamani ti.ara.ei ianzishe hata kodi za viungo vya uzazi ili namba isomeke kwa herufi kubwa.
Maendeleo hayana chama