matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,595
- 15,389
Wakuu sina mengi. Je wamasai hawana haki ya kuja kutuoshea vyombo majumbani huku?
Nini siri ya wamasai kutokuwa mabekitatu?
Nini siri ya wamasai kutokuwa mabekitatu?
Bora muhusika umejibu mwenyewe 😁tunaolewa mapema
Imenichukua dakika mbili nzima kuelewa kuwa umemaanisha kabila la wabarbaigWaapo kabisa ,mimi nimewahi kuwa naye na hata mbaribagi alikuwepo