matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,278
- 14,513
Wakuu sina mengi. Je wamasai hawana haki ya kuja kutuoshea vyombo majumbani huku?
Nini siri ya wamasai kutokuwa mabekitatu?
Nini siri ya wamasai kutokuwa mabekitatu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora muhusika umejibu mwenyewe 😁tunaolewa mapema
Imenichukua dakika mbili nzima kuelewa kuwa umemaanisha kabila la wabarbaigWaapo kabisa ,mimi nimewahi kuwa naye na hata mbaribagi alikuwepo