Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Makamu mwenyekiti wa ccm alilitangaza rasmi jukwaa hili kuwa ni adui hatari kwa chama chake na alitangaza vita na wanajukwaa akisema atapanana nalo kuhakikisha chama chake kinaondokana na hatari hiyo.
Baada ya kauli hiyo wamejitokeza member wapya kama kina Gamba Jipya, MkamaP na wengine wengi ambao wakishirikiana na akina Kashaga wamekuwa wakileta thread za kipuuzi au kudivert hoja za msingi ili tu kukitetea ccm au kutupotezea muda bila kutumia hoja na kulifanya jukwaa kuwa sio la great thinkers.
Watu wamedhihirisha wazi kwamba Msekwa ameanza kufanyia kazi kauli zake na kwakuwa we are great thinkers, tusishirikiane nao kwa kutokujibu comments wala kuchangia thread zao ili watambue kwamba we are here for serious issues na we're not dealing na upuuzi wao.
Nawasilisha.
Baada ya kauli hiyo wamejitokeza member wapya kama kina Gamba Jipya, MkamaP na wengine wengi ambao wakishirikiana na akina Kashaga wamekuwa wakileta thread za kipuuzi au kudivert hoja za msingi ili tu kukitetea ccm au kutupotezea muda bila kutumia hoja na kulifanya jukwaa kuwa sio la great thinkers.
Watu wamedhihirisha wazi kwamba Msekwa ameanza kufanyia kazi kauli zake na kwakuwa we are great thinkers, tusishirikiane nao kwa kutokujibu comments wala kuchangia thread zao ili watambue kwamba we are here for serious issues na we're not dealing na upuuzi wao.
Nawasilisha.