Msekwa aamuliwa kulipa deni la mil.7

Ndg wana JF binafsi nimesikitishwa na kauli aliyotoa MSEKWA,Makamu M/kiti CCM(Bara) kwamba alikaa kimya bila kulipa deni lake kule ubalozini baada ya kuona ubalozi wamekaa kimya bila kumwuliza.
Hivi si yeye alieomba kukopeshwa hizo pesa au aliomba kupewa msaada? Naona kiöngozi huyu kukosa uadilifu hasa ukizingatia nafasi aliyokuwa nayo (SPIKA)!
. Pia hiki ni kielelezo cha viongozi wetu kuwa wahawezi kutekeleza kile wanacho ahidi kwasababu tu walioahidiwa hawajawakumbusha hivyo hawana shida.
Wakati umefika kila mwananchi kudai kile alichoahidiwa kwa njia yoyote ili viongozi wajue kuwa AHADI NI DENI NA WANAOWAJIBU WA KULIPA.
 
......waliwapima viatu mwaka 2005, leo wanakuja wanawauliza.."hivi mnavaa viatu saizi gani"....MJOMBA!
NDIO ZAO HAWA VIONGOZI WA kisiasa...ALIDHANI KWA KUWA ni mwanasiasa basi atasamehewa na kuachwa tu!
Shame on him!
 
......Nilidhania kwa kuwa ni mfanyakazi wao...watalipana huko kwa huko!!!ila naomba kujua huyo kijana hastahili kulipiwa matibabu??au yalizidi kiwango walichowekewa????
 

1.Awali, Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Sazi Salula aligoma kumtaja mdeni huyo kutokana na wadhifa wake ndani ya CCM, akimwelezea kuwa ni kigogo hivyo hakustahili kutajwa mbele ya waandishi wa habari na kwamba si muajiriwa wa serikalini.

- Si muajiriwa serikalini, sasa alikopeshwaje na serikali na vipi kuna sheria ya serikali kufanya haya makopesho kwa namna hii? Kumbe balozi zetu nje zina pesa za kukopesha viongozi wa juu wakiwa na shida?

2.Hata hivyo, Salula alisema kigogo huyo ameandikiwa barua akikumbushwa kuhusu deni lake mara kadhaa ingawa mpaka sasa amelipa sh milioni tatu tu.

3. Katika maelezo ya wizara hiyo kwa kamati ya Bunge,
inadaiwa Msekwa alikopeshwa kiasi cha euro 5,924 sawa na sh 10,072,000 mwaka 2003/04

“Kuanzia hapo nikiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano sikudaiwa hata siku moja na mimi nilinyamaza nikitambua kwa vile mwanangu ni mfanyakazi wao, basi atakuwa amelipiwa fedha hizo ambazo ni sh milioni 10, lakini haikuwa hivyo.

“Nikiwa sijui kinachoendelea nilishutukia naletewa barua na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na kunieleza kwamba wamefanyiwa ukaguzi wa mahesabu na kukuta kiasi hicho hakipo… sasa nikashangaa nikijua wazi wanalipa wao kwa vile ni mfanyakazi wao, basi nilikubaliana nao,” alisema.



- Incredible, nilikopa nikweli alikopeshwa hajalipa, sijalipa nilidhani zinalipwa na serikali, yaani foolish! as if wabongo hatuna akili tena, wewe umekopa ukaahidi kulipa, badala yake ukaa-assume kwamba eti serikali inalipa pamoja na kwamba umeandikiwa barua kibao kukumbushwa kulipa, sasa umekamatwa ndio unaanza na blah! blah! blah! tena bila aibu kwa mtumzima!

Inasikitisha sana! maana hapa ingekuwa nchi za wenzetu, ingeundwa kamati maalum kuangalia serikali nzima viongozi wangapi wamekopa serikalini, wamerudisha? na sheria ipo ya kuwakopesha?

Respect.


FMEs!

 
Daaah aise huyu mzee msanii kweli? aliomba mambo ya nje wamlipie matibabu kijana wake....fine!, baada ya ombi kukubaliwa ana assume eti ilikuwa kama vile haki ya kijana yule kulipiwa......??? kwa nini from the beginning hakuliweka hilo wazi.....kama ilikuwa ni haki ya yule kijana?....taratibu za matibabu kwa wafanyakazi wa serikali zinasemaje......! very tired!
 
sasa wale wanafunzi wanaodaiwa mikopo itakuwaje kama na wao wanadhania "wamesamehewa"?

Pesa za walipa kodi ni kwa viongozi wa Chama Cha Majambazi.

Daaah aise huyu mzee msanii kweli? aliomba mambo ya nje wamlipie matibabu kijana wake....fine!, baada ya ombi kukubaliwa ana assume eti ilikuwa kama vile haki ya kijana yule kulipiwa......??? kwa nini from the beginning hakuliweka hilo wazi.....kama ilikuwa ni haki ya yule kijana?....taratibu za matibabu kwa wafanyakazi wa serikali zinasemaje......! very tired!

Hiyo pesa alilipiwa in Foreign exchange ilikuwa millioni saba wakati ule. Wenye kumbukumbu exchange rate wakati ule ilikuwa ngapi? Je, hivi sasa hizo atakazolipa zitakuwa sawa na alizokopa in terms of forex?
 
ukichunguza sana sitashangaa hata huyo mwanae hakuajiriwa kwa kufuata taratibu hakuna mtoto wa mkulima aliyepewa nafasi ya compete for that position
 
SAKATA la Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), Pius Msekwa, kudaiwa takriban shilingi 7,000,000 alizokopa ubalozini Uingereza, limetufumbua macho.

Msekwa alikopa pesa tajwa ili aweze kumtibia mwanae aitwaye Julius aliyeugua ghafla akiwa njiani kwenda Paris Ufaransa akiwa ni mfanyakazi wa ubalozi.

Ukichukulia na kugundulika kuwa watoto wengi wa vigogo wa chama na serikali wamejazana Benki Kuu (BoT) tena wengine kwa kuingia na vyeti vya kughushi, hili linazidisha shaka.

Hebu fikiria, Msekwa huyu huyu alikuwa Spika wa Bunge kwa miaka nenda rudi kabla ya kuteuliwa Makamu Mwenyekiti wa CCM. Zidi kufikiri. Msekwa huyu huyu mwanaye anafanya kazi ubalozini.

Bado hajaridhika na neema zote hizi anazokamua kwenye nchi. Msekwa huyu huyu anakopa pesa ubalozini. Mwisho wa yote anaacha kulipa? Je, huu si ufisadi na ubinafsi wa kutisha? Je, ni wangapi kama Msekwa madudu yao hayajajulikana?

Ingawa huu mara nyingine huchukuliwa kama umbea, utakuta kuna ukweli hasa kuhusiana na watawala wetu kujipendelea wao na familia zao.

Nenda pale Ikulu. Alipoingia Benjamin Mkapa tulianza kusikia baadhi ya majina yakitajwa. Kwa sasa hatujui wapo kina nani. Ila uhakika ni kwamba kuna watoto wa vigogo ama wa chama au serikali.

Je, balozi zetu zina watoto wangapi wa watu kama kina Msekwa? Je, wamepelekwa kule kwa vile wana sifa au ni kwa vile wazazi wao ni vigogo?

Hivi karibuni nchini Kenya kuligunduliwa kitu cha kutisha ambapo mabalozi na baadhi ya wafanyakazi ni ndugu wa vigogo. Walitajwa mabalozi Dk. Wenwa Akinyi (USA) dada yake Waziri Mkuu, Raila Odinga; Bi Catherine Muigai Mwangi (Jamhuri ya Ireland) ambaye ni dadake Waziri wa Afya, Bi Beth Mugo, ambaye pia aliwahi kuwa mkurugenzi wa tume ya mawasiliano wa Kenya Airways.

Bi Mishi Masika Mwatsahu ambaye muda wake kuwa balozi nchini Pakstan umerefushwa ni dadake Waziri wa Uchukuzi, Chirau Ali Mwakwere.

Wakati huo huo mwakilishi wa kudumu wa UNESCO, Dk. Mary Khimulu, ni dadake Waziri wa Ushirika, Joseph Nyagah. Huyu aliteuliwa mara ya kwanza wakati kaka yake alipokuwa Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje.

Profesa Sospeter Machage (Urusi) ni pacha wa Waziri Wilfred Machage. Kabla ya kuteuliwa alikuwa akiendesha hospitali binafsi kwenye mji mdogo wa Kilgoris.

Mwingine ni Elkanah Odembo (Ufaransa) ambaye shemeji yake ni Chief Whip wa serikali, Jakoyo Midiwo.

Kwa vile sura za ufisadi barani Afrika zinafanana, kuna haja ya Watanzania kuanza kuchunguza mabalozi wetu nje hata wafanyakazi wa ubalozi nje kujua kuna kina “Msekwa, Sons & daughters” wangapi.

Hapa tunaongelea balozi zetu nje. Bado kuna sehemu nyingine nyeti kama uhamiaji, bandari, wizarani, mbuga za wanyama na sehemu nyingine zenye vipato vikubwa.

Hapa bado hujamulika makampuni binafsi ya vigogo yanayofanya shughuli za kibiashara na serikali hiyo hiyo wanayotumikia. Rejea sakata la miraba ya uwindaji na kumilikiwa na mawaziri na wazito wengine serikalini au washirika, wake na marafiki zao.

Rejea kashfa inayozidi kusukumizwa chini ya busati ya wizi wa mapato pale Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo ambapo wizi umehamishiwa Machinga Complex.

Je, kwa mtaji huu nchi haijawa mali ya vigogo wanaotuaminisha kinadharia kuwa ni yetu wakati kivitendo ni yao?

Je, pesa aliyokaa nayo Msekwa kwa muda aliokaa nayo ingekuwa benki ingezalisha faida kiasi gani? Je ni wangapi wamekopa pesa kubwa kuliko hii kwa miaka mingi kama ilivyobainika kwenye ufisadi wa CIS hadi leo hawajalipa wala kuchukuliwa hatua?

Je ni wangapi wamepeleka watoto, marafiki hata ndugu zao kusoma nje kwa pesa za umma ambao hatuwajui kwa vile wanalindana serikalini?

Kwa nchi za Magharibi zinazotupa misaada, kitendo cha Msekwa kilitosha kumwajibisha na chama chake kuingia tafrani kwenye uchaguzi ujao. Lakini kwa vile Tanzania ni shamba la bibi la mafisadi, hakuna anayeliona hivi.

Achia hili la Msekwa, Mawaziri na wabunge waliotuhumiwa kughushi vyeti vya taaluma wamechukuliwa hatua gani zaidi ya kuendelea kupeta wakati ni matapeli wa kawaida tu? Je, rais hata umma unaowavumilia wahalifu kama hawa si wa wahalifu na mafisadi pia?

Leo watu kama Profesa Mwesiga Baregu wananyimwa ajira wakati kuna matapeli walioghushi wako kwenye nyadhifa za juu wakilipwa vinono kwa ujuzi wasio kuwa nao!

Kama kuna maafa yanayoikumba Tanzania si mengine ni haya. Maana hawa wanalipwa pesa nyingi na kutumiwa na wezi wanaoitwa wawekezaji kwa kujua hawajui lolote kiasi cha taifa letu kuendelea kuwa maskini wakati lina raslimali nyingi.

Mawaziri vihiyo au walioko madarakani kwa udugu ndio chanzo cha mikataba michafu kama ya TRL, IPTL na mingine inayolisumbua taifa. Nani atamwajibisha nani kwa mfano mtu anayeshutumiwa kutenda kosa ni shemeji au kaka hata dada wa anayepaswa kumwajibisha?
 
Sidhani kama ni ufisadi....jamaa kweli alikuwa anamatatizo nadhani kisa chake unakifahamu vizuri..jamaa amekubali kwamba alikopa pesa hizo.
 
Inastaajabisha na inatia shaka kwakweli,kama mtu ni diplomat na anaugua akiwa njiani kikazi,kulikuwa na sababu gani ya kukopa hela ya matibabu wakati sheria inamruhusu kutibiwa bure na serikali? i belive there is something behind it...lakini tumezoea watoto wa wakubwa kupachikwa kwenye position kama hizo. nimegundua kuna mtoto wake mwingine pia Jacob Msekwa-First Secretary of Tanzania Embassy in Sweden

http://www.tanemb.se//index.php?option=com_content&task=view&id=13&Itemid=28
 
Ndio maana wa akina Msekwa,Malecela na Mwinyi hawawezi kuiachia SISIEM.Dou believe kama Jacob Msekwa atakuwa ubalozi Sweden bila ya baba yake kupeta?Je Hussein Mwinyi waziri wa Ulinzi?Je Dr Mwele Malecela nafasi yake Utafiti?

Nchi yetu elitism ni kubwa sasa,ndani ya makucha ya SISIEM.Mbali zaidi hawa wanachaguliwa na illiterates huko vijijini!
 
Jacob Msekwa-Sweden
Julius Msekwa-France matibabu/England
Erick Msekwa-England

Nadhani watu wa Ukerewe wanadeserve better
 
Chama Cha Majambazi as usual, it is their party and they will continue to loot as they wish until the tax payers realize that Chama Cha Majambazi is not for them.
 
huyu mzee anajifanya sasa ni mstaafu hivyo hana hela wakati nakumbuka kama mjumbe/mwenyekiti wa bodi ya tanapa walilipana bonus ya 20millioni, miaka 2 iliyopita na hatuji huwa anapata shs ngapi kwa kuwa mwenyekiti wa bodi kwa vikao na takrima, pili alilipwa marupurupu ya u-spika 2005 ikiwa wabunge tu wanapata zaidi ya 25millioni , je kwa spika itakuwa ngapi? tatu alikuwa kwenye bodi ya voda kwa bwana RA wakati akiwa spika sasa sijui ni ngapi alizi vuna huko, na pia na wasi wasi wa takrima kuwepo kwenye ujenzi wa bunge letu la sasa. na mengine ya kuitetea serikali kwenye miswaada wakati wa u-spika wake na ufisadi uliotokea katika nchi yetu.
 
Ndugu Mkereketwa, tunaposema Sisiem ni chama cha mafisadi unafikiri tunawasingizia? Ona toka 2003/04 jamaa kaomba mkopo wa Euro ambao hauna riba toka ubalozini halafu analipa kwa Tsh bila hata kujua kama exchange rate ambayo inayotumika nayo inabadilika! Eti Msekwa anataka huruma kwa kuwa anatumia pensheni yake kulipia hilo deni. Kuna maswali mengi ya kujiuliza:

1) Je pensheni ya Msekwa inafanana na ya walalahoi hata tumwonee huruma?

2) Kwanini huyo mtoto wake ambaye anafanya kazi huko majuu asilipe deni hilo?

3) Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje hawezi kumtaja mdaiwa kwasababu ni Kigogo! Huu ni uoga wa kazi uliopindukia.
Watanzania wote kulipa madeni si utamaduni wetu!!!!??? Na shida inaanzia kwa viongozi wetu kwani ni wafujaji vizuri wa pesa za umma. Hatuna sheria kali zinazowabana viongozi wetu wanapochezea pesa na amana zetu, na hapa ndipo tatizo linapoanzia na halitakwisha mpaka pawepo na sheria kali dhidi yao.
Usishangae hawa vijana wetu waliokopeshwa pesa kwenda shule hawataki kulipa wakisema walidhani wamelipiwa bure maana wao ni watoto wa watanzania walala hoi na hawajui kiasi walicholipiwa!
Wadaiwa wa mabenki vile vile wanakuja na sababu lukuki. Hawataki kulipa. Nyumba zikitaka kuuzwa wanakimbilia mahakamani kuweka pingamizi.
Serikali vile vile inadaiwa na wazabuni miaka nenda rudi, hawalipi. Serikali ni mdaiwa sugu.
So, utaona hii ni urithi wa shida ya kuto honour madeni yetu! Mungu tusaidie!
 
Ndio maana wa akina Msekwa,Malecela na Mwinyi hawawezi kuiachia SISIEM.Dou believe kama Jacob Msekwa atakuwa ubalozi Sweden bila ya baba yake kupeta?Je Hussein Mwinyi waziri wa Ulinzi?Je Dr Mwele Malecela nafasi yake Utafiti?

Nchi yetu elitism ni kubwa sasa,ndani ya makucha ya SISIEM.Mbali zaidi hawa wanachaguliwa na illiterates huko vijijini!


- Mkuu muogope Mungu wako japo kidogo, CCM haiwezi kumpachika mtoto wa mtu yoyote Tanzania awe masikini au kigogo, katika mavitu mazito ya dunia kama hili hapa chini, Great Thinkers tunapaswa kua better than hizi longo longo bila facts!

Respect.

FMEs!



mainPic.jpg
EXECUTIVE GROUP
The mission of the Executive Group (EG) is "to support the Global Programme by enhancing the effectiveness of national, regional and global fundraising, advocacy, communication and planning for the Programme."
Following are short biographies for the five elected EG members, the RCG Chair (ex-officio member of the EG), the two co-opted country representatives and the three observers.
ELECTED MEMBERS
Adrian HOPKINS
Elected member
Contact: ahopkins@taskforce.org
executivegroup_clip_image002.jpg
Dr. Hopkins who hails from England completed his medical training in Scotland in 1971 and four years later, after surgical and other training, including the DTM&H at Liverpool, he moved to what was then Zaire to work in a rural Baptist Mission Hospital in an area of tropical rain forest called Pimu. Pimu was once described by a group of visiting public health specialists as "too rural for rural health care." He remained there for most of 17 years with some brief spells in Kimpese and Yakusu in Zaire and some time in England to complete his Diploma in Ophthalmology.

In 1993, Dr. Hopkins became technical advisor to the Central African Republic Ministry of Health for the National Programme for Onchocerciasis Control and Prevention of Blindness, working with the Christoffel-Blindenmission (CBM). In 1999, in spite of the ongoing civil war, he returned to the Congo, to Kinshasa, to establish the Training Centre for Ophthalmology for Central Africa (CFOAC), which is a centre for training mid-level personnel in eye care. For twelve years from 1995 he was Medical Advisor for CBM for the Central African Region and has also been their advisor for onchocerciasis control which involved continuous oversight of programs in CAR, DRC, Sudan and Burundi. The latter program is now being transformed into a Program for Control of Neglected Tropical Diseases.

Dr. Hopkins also served for four years on the Technical Consultative Committee of APOC and completed four years as chairperson of the NGDO coordination group for onchocerciasis control and has been involved in the NGDO LF Network and the Africa Region RPRG for LF. He has also been very involved in national planning and implementation of the WHO/IAPB Vision 2020 program to eliminate avoidable blindness, mostly in French-speaking regions of Africa.
In January 2008 Dr Hopkins was appointed as Director for the Mectizan Donation Program (MDP), located at the Task Force for Child Survival and Development in Decatur, Georgia (USA).

Patrick LAMMIE
Elected member
Contact: pjl1@cdc.gov
executivegroup_clip_image004.jpg
Pat Lammie is the Team Leader of the Diseases Elimination and Control Group in the Division of Parasitic Diseases at the Centers for Disease Control and Prevention (CDC). Pat received his PhD from Tulane University in 1983 following doctoral research on the immunology of experimental filariasis. After a post-doctoral fellowship at the University of Pennsylvania, he worked at LSU Medical Center in New Orleans before moving to CDC. Pat's current research is focused primarily on lymphatic filariasis. His lab is heavily invested in efforts to develop new tools and strategies to monitor and evaluate the Global Programme to Eliminate Lymphatic Filariasis.


Bernhard LIESE
Elected member
Contact: b.liese@worldbank.org
executivegroup_clip_image006.jpg

Bernhard H. Liese, a German national, is currently Chair, International Health Department, Georgetown University School of Nursing & Health Studies (NHS). He is also Public Health Advisor/Consultant to the World Bank's Africa Region. Before joining Georgetown University in 2002, Bernhard worked for the World Bank. He joined the Bank in 1976 as Public Health Specialist in the Office of the Vice-President, Projects; subsequently, he worked in various functions in establishing Health Lending at the Bank as Senior Public Health Professional on Tropical Diseases and HIV/AIDS and as Manager in the newly established Population, Health & Nutrition Department.
For nearly a decade Bernhard was responsible for the Joint Bank/IMF Health Services Department. While Director of HSD, he also was the Bank representative for some of the large multi-donor global health programs which the Bank co-sponsors, eg the Special Program for Training and Research in Tropical Diseases (TDR), and the African Programs for Riverblindness Control (OCP and APOC). Most recently, he was Senior Advisor, Human Development Department, Africa Region.

David MOLYNEUX PhD, DSc, Hon, FRCP
Chair (elected member)
Contact:
david.molyneux@liv.ac.uk
executivegroup_clip_image008.jpg
David Molyneux was Director of the Liverpool School of Tropical Medicine (LSTM) Lymphatic Filariasis Support Centre (LFSC) since its launch in April 2000 until his semi-retirement in April 2008. The Centre (which has been renamed to recognise its expanded activities as the Neglected Tropical Disease Control Centre – incorporating the LFSC) is supported by the Department for International Development (DFID) and GlaxoSmithKline (GSK). Continuing at the School as a Senior Professorial Fellow David will continue to utilise his extensive knowledge of parasitic disease control to offer technical support and advice to the Global Programme to Eliminate Lymphatic Filariasis
Prior to his directorship of the Centre David was the Director of the Liverpool School of Tropical Medicine (1991-2000). From 1977-91 he was successively Professor of Biology, Chairman of the Department of Biological Sciences and Dean of Science at the University of Salford. David graduated (MA, PhD) from Cambridge University in parasitology before embarking on a career in medical parasitology and parasitology. His research was awarded a DSc from the University of Salford. His early research interests were trypanosomiasis and leishmaniasis. He is a member of the WHO Panel of Experts on Parasitic Diseases, the International Task Force for Disease Eradication of the Carter Center, the WHO International Commission for the Eradication of Dracunculus (Guinea Worm) and WHO's Strategic Technical Advisory Group (STAG) for Neglected Tropical Disease (NTD).
David has travelled extensively in Africa as well as the Middle East and Latin America working with, and addressing, various programmes. He has published over 300 papers in learned biomedical science journals, written over 20 reviews and contributions to books as well as a textbook on trypanosomes and leishmania and edited a major text on the Control of Human Parasitic Diseases published in June 2006. He has acted as a consultant to several organisations including WHO, FAO, UNDP, the World Bank and the UK government (DFID). David's current interests are in health policy around the integration of Neglected Tropical Diseases and the implementation of large scale programmes based on annual preventative chemotherapy.

Mwele Ntuli MALECELABsc, Msc, PhD
Chair, Representative Contact Group (ex-officio member)
Contact: mmalecela@hotmail.com

executivegroup_clip_image010.jpg


Dr Malecela is Director of the Tanzania Lymphatic Filariasis Elimination Programmme, as well as Director of Research Coordination and Promotion of the National Institute for Medical Research (NIMR) Tanzania.
Mwele holds a Bsc in Zoology from the University of Dar-es-salaam and an MSc and PhD in Parasitology from the University of London (London School of Hygiene and Tropical Medicine). Her area of specialization was the immunology of filarial evasion mechanisms.
Mwele has worked at the National institute for Medical Research for over 20 years in a number of areas including Lymphatic Filariasis immune epidemiology, and health systems and policies. As Director for Research at NIMR, her main focus is on research capacity building, the translation of research into action, as well as the policy and practice of priority setting for health research.
In her role as Director of the National Lymphatic Filariasis Elimination Programme she brings her long research experience to efforts to eliminate filariasis, and she has run the national programme since its inception in 2000. She is well known for her role in advocacy campaigns that have raised the profile of the real extent of the problem in Tanzania.
Mwele has served on a number of international committees including the Technical Advisory Group of the Global Programme to Eliminate Lymphatic Filariasis, the Mectizan Expert Committee and the advisory board of the Initiative on Public-Private Partnerships in Health (IPPPH).
Mwele is the Chair of the Representative Contact Group (RCG), a position which has ex-officio membership on the Executive Group. Mwele was initially elected to the Chair at the Fiji meeting in 2006 and was unanimously re-elected at the Tanzania, Arusha meeting in 2008.

CP RAMACHANDRAN
Elected member
Contact: ramacp@hotmail.com
executivegroup_clip_image012.jpg
Professor Dato Dr. CP Ramachandran undertook his graduate and postgraduate studies at the Universities of Madras, London, Liverpool, Tulane and Tokyo. Starting as a lecturer at the Faculty of Medicine University Malaya in 1963, he moved on in l967 to become theChief of Filariasis Research and Control at theInstitute for Medical Research in Kuala Lumpur. In 1970 he joined Universiti Sains Malaysia (USM) as Professor of Medical Parasitology and Dean of the School of Biological Sciences, where he helped to develop undergraduate and postgraduate programmes and sent many young Malaysians abroad foracademic and research training.
In 1979, on secondment from USM, CP moved to Geneva to join the WHO Tropical Disease Research and Control of Tropical Diseases Programmes as Chief of Filariasis Research and Control. In this dual capacity he focused the attention of the global scientific community on the magnitude of the disease burden and the problem of filariasis, especially among the poorest of the poor. He was instrumental in initiating newer chemotherapeutic clinical trials for the control of onchocerciasis and lymphatic filariasis and introduced ivermectin and albendazole as new anti-filarial drugs in combination with diethylcarbamazine to the therapeutic armamentarium.

While in WHO, he was also responsible for postgraduate training of young scientists from developing countries in tropical diseases research and for the establishment of centres of excellence in tropical disease research in many of the developing countries. After retiring from WHO in 1996, he wasappointed as Professor of Medical Parasitology at the newly established Faculty of Medicine, Universiti Putra Malaysia.
CP is a recipient of a number of awards recognizing his contribution to tropical medicine including the Sandosham Gold Medal for Tropical Medicine, the Mary Kingsley Medal from the Liverpool School of Tropical Medicine and National/State Awards of JSM and DSPN.
He is a Fellow of the London Institute of Biology, the Academy of Medicine of Malaysia and the Academy of Sciences, Malaysia and the Australasian College of Tropical Medicine. He is also an Honorary Fellow of the UK Royal Society of Tropical Medicine & Hygiene and the Liverpool School of Tropical Medicine and Honorary Professor of the Faculty of Tropical Medicine, Prince Mahidol University, Bangkok. He is a founder member and past President of the Malaysian Society of Parasitology and Tropical Medicine
Whilst at WHO CP was instrumental in initiating the Global Programme to Eliminate Lymphatic Filariasis (GPELF) and until recently he chaired the Technical Advisory Group (TAG). Today he continues as a consultant on lymphatic Filariasis and as Chair of Mekong Plus Regional Programme Review Group.
CO-OPTED COUNTRY REPRESENTATIVES
Tilaka LIYANAGE
Contact: dashi@sltnet.lk
executivegroup_clip_image014.jpg
Dr.Tilaka Savitri Liyanage is the present Director of the Anti-Filariasis Campaign in Sri Lanka. A Senior Medical Administrator in the Ministry of Health, Sri Lanka she has a broad in-depth knowledge and experience of lymphatic filariasis control. Prior to her current appointment in 2001, she worked as a Regional Medical Officer of the Anti-Filariasis Campaign for thirteen years.
Tilaka received her MBBS degree from the University of Colombo in1978 and MSc in Community Medicine from the Post Graduate Institute of Medicine, Colombo. She undertook postgraduate training in Tropical Health at the University of Queensland in Australia where she obtained her Master of Tropical Health in 1992/93.
She gained a wider experience in preventive and promotive health care services for maternal and child health, communicable diseases and non-communicable diseases when she worked as a Medical Officer of Health for ten years. She continues to be involved in the training of primary health care workers, public health physicians, medical administrators and as a part-time lecturer for undergraduate medical students.
Tilaka led the National Mass Drug Administration Programme for five consecutive years from 2002-2006.
From 2006-7 Tilaka served as a member of the WHO Technical Advisory Group of the Global Programme to Eliminate Lymphatic Filariasis.

Dominique KYELEM MD, MSc, PhD
Contact: dkyelem@taskforce.org and dominiquekyelem@yahoo.fr

executivegroup_clip_image016.jpg
Dr. Dominique Kyelem is Project Manager at the US (Atlanta) Lymphatic Filariasis Support Center (LFSC). He serves as a key liaison of the LF Support Center to various partner organizations and is responsible for developing and implementing various program objectives of the Gates grant to the GAELF entitled: "Resolving the Critical Challenges Now Facing the Global Programme to Eliminate Lymphatic Filariasis".
Dr Kyelem was a GP for several years before embracing the public health field. He performed ultrasonography and hydrocelectomy while in the regional hospital of Dori, in northern Burkina, where he was Director of the hospital. His public health career started with his appointment as Director of Health of the Northern Region in Burkina Faso.
Prior to joining the Atlanta LFSC in 2007, Dr Kyelem was in charge of the unit of communicable diseases including lymphatic filariasis in the Ministry of Health of Burkina Faso; he worked at various levels and sectors of the health system of his country for more than 14 years. In 1996, his hospital received the label "Baby friendly hospital" for its good breastfeeding practice; he was the pioneer of national NIDs for polio eradication district level implementation in Burkina Faso. Dr Kyelem has been a consultant for WHO since 2001 supporting African countries in lymphatic filariasis elimination activities and is a member of several advisory committees. He extensively worked on Guinea worm and initiated the Schistosomiasis Control Programme in Burkina Faso in October 1999 as the first its Programme Manager.
Dr. Kyelem holds a medical degree from the University of Ouagadougou (Burkina Faso), a Masters in Public Health degree from the University of Heidelberg (Germany) and a PhD degree from the University of Liverpool (United Kingdom). He speaks French and English.

OBSERVERS
GLAXOSMITHKLINE - Andy Wright MBA
Contact: andy.l.wright@gsk.com

executivegroup_clip_image018.jpg
Andy Wright has a Bachelors degree in Civil Engineering and a Masters degree in Project Management. He is a Chartered Engineer whose early career includes project management of capital projects within the petrochemical construction industry, roles in marketing and business development and project management consultancy.
In 1994, Andy joined GlaxoSmithKline (GSK), working on global supply chain programmes and IT projects. Since 2000, he has been active in the global campaign to eliminate lymphatic filariasis. GSK is a key partner in the global effort, donating albendazole, one of two drugs required, for every country that needs it until the disease is eliminated. Andy is currently the Director of the LF Programme, which is GSK's flagship health initiative within its Global Community Partnerships Department.

MERCK & CO. INC. – Ken Gustavsen BSc
Contact: ken_gustavsen@merck.com
executivegroup_clip_image020.jpg

Ken Gustavsen is Manager, Global Product Donations for Merck & Co. Inc. His responsibilities include the management and strategic development of all activities associated with the Merck Mectizan® Donation Program. He serves as the liaison between Merck and its partners involved in Mectizan® distribution for onchocerciasis (river blindness) and lymphatic filariasis. He also manages Merck's donations of other pharmaceutical products and vaccines. Ken has been with Merck since October 2000. Prior to joining Merck he worked for the non-profit organization World Relief, where he served
as Project Director in Kosovo (Yugoslavia). There he directed World Relief's post-war activities and coordinated efforts with the United Nations, NATO, USAID and other government and non-governmental agencies.
Before his work with World Relief, Ken was a Lieutenant in the United States Navy. Ken graduated from the United States Naval Academy with a Bachelor of Science degree in oceanography and is currently working towards a Master of Business Administration degree at Rutgers University.
WORLD HEALTH ORGANIZATION - Contact: neglected.diseases@who.int

 
Back
Top Bottom