Msanii wa Bongo fleva na Diwani wa kata ya Mwanga, Clayton Chipando (Baba Levo) amehukumiwa kifungo cha miezi mitano jela

Kama kweli alimshambulia acha aipatepate muda mbona kama mchache sana, iwe aliudhiwa na huyo askar au lah kiongozi mshenzi hafai kuigwa
 
Kwa kuwa diwani ndio asiheshimu sheria! Akwende zake akatie akili kidogo
 
Baba Levo ni mtetezi wa Bodaboda, Bajaji na wanyonge wajasiriamali katika manispaa amewapambania vya kutosha leo amepatikana na hatia kwa nia ya kuwatetea wananchi wa mji mzima, Mwanga ndipo alipozaliwa baba levo. Kamati ya Madiwani imeshakata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.
Acha siasa kwenye mambo ya msingi
Kujichukulia sheria mkononi ni kosa la jinai,adhabu aliopewa ni ndogo sana
Sijawahi kuona kamati ya siasa ikakata rufaa ya jinai,acha kupotosha
Anatakiwa mfungwa ndie akate rufaa,na akishindwa anaongezewa adhabu
 
Acha siasa kwenye mambo ya msingi
Kujichukulia sheria mkononi ni kosa la jinai,adhabu aliopewa ni ndogo sana
Sijawahi kuona kamati ya siasa ikakata rufaa ya jinai,acha kupotosha
Anatakiwa mfungwa ndie akate rufaa,na akishindwa anaongezewa adhabu
Ukishindwa rufaa hukumu ya awali ndo inatekelezea sio kuongeza adhabu
 
Acha siasa kwenye mambo ya msingi
Kujichukulia sheria mkononi ni kosa la jinai,adhabu aliopewa ni ndogo sana
Sijawahi kuona kamati ya siasa ikakata rufaa ya jinai,acha kupotosha
Anatakiwa mfungwa ndie akate rufaa,na akishindwa anaongezewa adhabu
Ndugai baada yakumpiga yule myombea mwenza,alipewa adhabu gani?
 
Na sasa ni supika mkuu!! Hapa kijani hawasemi; na ukute hata hakumpiga bali anabambikiwa kesi! Nani asiyewajua polisi kwa kubambikia kesi wenzao?
Ndo hivyo,upendeleo hautokuja kuisha... pole yake mh. diwani
 
Sugu alifungwa miezi mitano,lakini aligoma kukata rufaa licha mambulula ya chadema kumshawishi,alijua akishindwa kifungo kitaongezeka na utakua mwisho wa maisha yake kisiasa
Huyo diwani akitoka huko akavue dagaa tu
 
Back
Top Bottom