Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,225
- 6,353
menzenu Timbolo simuelewagi kabisaa
hata nyimbo yake ikipigwa club huwa natoka nje
wenzangu msanii gani hamumuelewagi?
Mimi wasanii wote wa fleva siwaelewagi, nawaona wote feki kwa kuvamia vitu vya kuiga na kujiita wanamuziki wakati si lolote. Mtu huna talent eti unajiita mwanamuziki, kuimba na tungo ni za ubabaishaji. To hell with fleva!