Mtafiti wa Kale
Senior Member
- May 18, 2013
- 111
- 22
Karibu ktk Mageuzi ya kweli huenda ukawaamusha wangoni wengine ambao wamelala fofofo na wajanja huendelea kufunika mashuka ili wasiamke haraka,kwani mkoa mzima wa Ruvuma hauna hata mbunge mmoja wa kuwapigania wa lala hoi,bali wapo tu wasemao naunga hoja kwa 100% halafu inaikosoa tena hoja hiyohiyo,mimi nashindwa hata kuelewa maana ya 100% .Njoo nyumbani Songea Dad