Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Karibu ktk Mageuzi ya kweli huenda ukawaamusha wangoni wengine ambao wamelala fofofo na wajanja huendelea kufunika mashuka ili wasiamke haraka,kwani mkoa mzima wa Ruvuma hauna hata mbunge mmoja wa kuwapigania wa lala hoi,bali wapo tu wasemao naunga hoja kwa 100% halafu inaikosoa tena hoja hiyohiyo,mimi nashindwa hata kuelewa maana ya 100% .Njoo nyumbani Songea Dad
 
Huyu prof. Jay ni mpambanaji siku nyingi tu. Nililigundua hili kutokana na maudhui ya nyimbo zake na nadhani alichokifanya ni kujiweka wazi tu kwa wakati huu.
 
nimependa sana!jamaa jembe nakajiunga namajembe kuadabisha vinyamkera chichiemu!karibu kwamikono miwili!
 
BKyJhNICYAAhxDi.jpg:large
 
Ulikuwa hujui kaka,hata radio yao huku mikoani tunaisikia kwenye TBC Tv.
 
hahahahaha huwiiiiiiiiii!!!!!!!! Kwaheri ccm,ccm,kudadeki chama cha mafisadi,tuwazomeee haooooo ccm,karbu sana jembe,afande sele,roma,kala jelemayar,mwana FA,J moo more tekiniki.
 
safi sana kwa taarfa kama hizi

sasa kazi tu,majungu wao
 
TRA am sure kesho ama leo usiku watavamia kwake na awe makini sana na safari zake kwa kuwa CCM kuwa the other is regarded as war
 
Naona hamna aliyemkaribisha JF!

Jay, kama umeingia rasmi kwenye siasa za wazi na mapambano ya hoja pia tunakukaribisha JF.
Kuna wadau watakupika hapa, pia utaweza kuiona kwa upana siasa ya tz tokea kwenye jicho la mitandao ya kijamii.....
 
kazi sasa ndio ina anza kwa wasanii....na wengine mnakalibishwa sana...
 
Back
Top Bottom