Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA


Hapa hatuangalii ukongwe na uzee hapa tunaangalia u smart wa mtu.Katika mtu aliimba siasa vizuri na kufichua mambo ya ajabu ya serikali hapa nchini lazima umtaje ROMA na Prof Jay mi binafsi simkubali sugu kuanzia nidhamu na hata maamuzi yake anayofanya katika mambo yake ya kiharakati,Huenzi kuniambia harakati zake mheshimiwa mkubwa kama yule anatengeneza kundi la kuimba matusi makubwa(tafuta kundi linaitwa Anti virus wamejaa wajinga wanaoimba kwa hisia za bangi likiongozwa na yeye) alafu leo uje kunifananishia jay na sugu.Muangalie hata akiwa bungeni utaelewa nazungumzia nini.Sugu kaingia bungeni kwa umaarufu tu lakini sio kama yupo nondo ki siasa.Kama unabisha angalia interview ya sugu uje uangalie na interview ya prof jay utaelewa nini nazungumzia.Pale CHADEMA tunapazia sio mlango.
 
prof j kuingia kwenye siasa ni kujimaliza,me sioni kama ni sahihi yeye kufanya vile na tena kwenye chama cha Chadema
daaah pole sana na r.i.p prof j
Hv kwann unakurupuka kupost ujinga ujinga,ndo mana inafikia mahala watu wanaanza kufikiri kana kwamba JF ni ya WAHUNI tu,leo hii kijana unaulizwa kati ya KUKU na BATA anamchagua yupi?Unajibu MBUZI,halaf unacheka ukidhani ushindi,Wasanii kuwa CCM sawa CHADEMA hapana!Huu ndo ufinyu wa mawazo na fikra zisizopevuka.Nchi za Hai
iti na Senegal wasanii wanwsimama kupitia upinzani kutaka Urais,leo unahoji uanachama?
 
Amini nakwambia prof. J ndo mbunge wa songea mjini mwaka 2015 na si vinginevyo!

mkuu mimi nimekubali 100% pr.J lazima awe mbunge 2015 tena sio kwa kwa kuiba kula bali kuchaguliwa kihalai,ingawa ni vizuri kuwa na wabunge wengi wapinzani ila tunaomba wawe ni viongozi wenye makusudi na dhamira ya kuondoa umaskini na sio kuingia madarakani kwa lengo la kujinemesha wao wenyewe na familia zao
 
Sasa harakati ndio zinapamba moto karibu prof jay umefanya maamuzi sahh sana japo umechelewa ila sio issue muda upo.. Karibu songea kumtoa nchimbi tena utamtoa kirahisi sana.. Yani yule ni mwepesi kama kishada.

Nyie mlio like hii comment pamoja na mtoa comment, Nchimbi atawatafuta?. Anyways big up kaka mkubwa Profesa Jay, karibu sana harakatini.
 
Muziki umeshamshinda kaamua awe mchumia tumbo wa CHADEMA.

Sidhani kama ataingizwa kwenye mgao wa ruzuku wanaogawana pale makao makuu.
Komba,Kamata,Mlata wao wanaimba nn?Mbna hamtaki mabadiliko?
 
Wasanii wa kibongo njaa ndiyo zinawasumbua baada ya kuona muziki haulipi wameamia kwenye siasa.
 
Usilalie bahati ya mwenzako mlango wazi,Sugu alilala mlango wazi usiku akatupiwa gunia la pesa,prf.J anataka kulala mlango wazi !! chunga usije liwa na simba au kufanywa vibaya mtoto wa kiume.
 
Amechagua njia iliyo njema, asikonde maana hataitwa kwenye mambo kama ubalozi wa hapa na pale lakini soon, itakuwa ni zaidi ya hapo
 
Lazima wakae!!! tayarisheni vigoda pumzi zimeisha CCM inafutika kama tembo wetu wanavyouwawa kwa kasi na jangiri mkuu mnamjua!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…