Jamani tunaomba pro chadema na wapenda mabadiliko katika taifa letu wamshawishi na Roma Mkatoliki ajiunge rasmi na makamanda, itakuwa imetulia sana, hatutakuwa na haja ya kuyakodi kina diamond kama maccm yafanyavyo!
nakuunga mkono mkuu, tutapambana kwa njia zote, kwanza kwa kutoa elimu ya uraia, pia kuwapa mbinu za kulinda kura! Ccm wametunyonya vya kutosha kusini na taifa kiujumla!Pasipokuwaelimisha watu wapige kura na kuzilinda hawa jamaa wataendelea na mchezo huo huo...mwizi haachi kuiba mpaka....
Kumbe Clouds ni ya CCM!!!
mkuu kweli wewe ni mtu wa maccm, acha uwongo lini nchimbi aliishi songea? Pili prof j hataki kutumia siasa kama wafanyavyo wanaccm kujitajirisha binafsi, j amejiunga na chadema ili kupigania ukombozi wa awamu ya pili ya taifa letu! Tatizo la wanaccm wengi ni kutumia siasa kuwanyonya wananchi na si kuwasaidia! MWAIKI alikosa ubunge baada ya kuzidiwa rushwa na nchimbi ndani ya ccm na si vinginevyo!du kama umekua mwanachama wa chadema ni sawa kwani kila mtu ana maamuzi ya ke na tuna pasa kuya eshimu maamuzi yako ila kama una mpango wa kugombea ubunge ilo sio zambi ila ina takiwa sana ujifikilie mara 100 kwani wewe joseph haule nina amini sana utakuja kugombea songea kama alivyo fanya sugu kugombea kwao ila nakutaazalisha jambo maja...songea huwa mtu asie isi hapo hawawezi kukuchgua .sasa nibora uwe mwana chamatu .....
yasije kukukuta yaliyo mkuta MWAIKI.
ILA chama ulicho ingia umepotea kwa maoni yangu nibora unglikua CCM Kwani ungeli pata exposure ya kutosha hasa kimmziki .wao ndio washika dau na ndio wenye selikari sasa kuingia kuko ulipo sasa utazidi kupotea kabisa katika anga la muziki .na mtazidi sana kusingizia clouds fm.
tusije kusia sasa profesa j.anaimba taarabu kwa kupotea kimuziki .
SAHANI UNAYO TARAJIA KULA IMESHA TOBOKA....BADILISHA HARAKA KABLA HUJA SAMBAA MCHUZI MIKONI MWAKO
du kama umekua mwanachama wa chadema ni sawa kwani kila mtu ana maamuzi ya ke na tuna pasa kuya eshimu maamuzi yako ila kama una mpango wa kugombea ubunge ilo sio zambi ila ina takiwa sana ujifikilie mara 100 kwani wewe joseph haule nina amini sana utakuja kugombea songea kama alivyo fanya sugu kugombea kwao ila nakutaazalisha jambo maja...songea huwa mtu asie isi hapo hawawezi kukuchgua .sasa nibora uwe mwana chamatu .....
yasije kukukuta yaliyo mkuta MWAIKI.
ILA chama ulicho ingia umepotea kwa maoni yangu nibora unglikua CCM Kwani ungeli pata exposure ya kutosha hasa kimmziki .wao ndio washika dau na ndio wenye selikari sasa kuingia kuko ulipo sasa utazidi kupotea kabisa katika anga la muziki .na mtazidi sana kusingizia clouds fm.
tusije kusia sasa profesa j.anaimba taarabu kwa kupotea kimuziki .
SAHANI UNAYO TARAJIA KULA IMESHA TOBOKA....BADILISHA HARAKA KABLA HUJA SAMBAA MCHUZI MIKONI MWAKO
mkuu kweli wewe ni mtu wa maccm, acha uwongo lini nchimbi aliishi songea? Pili prof j hataki kutumia siasa kama wafanyavyo wanaccm kujitajirisha binafsi, j amejiunga na chadema ili kupigania ukombozi wa awamu ya pili ya taifa letu! Tatizo la wanaccm wengi ni kutumia siasa kuwanyonya wananchi na si kuwasaidia! MWAIKI alikosa ubunge baada ya kuzidiwa rushwa na nchimbi ndani ya ccm na si vinginevyo!
We Mchawi ndio maana unataka Hoja! Sikiliza Mzee, CHADEMA NI KAMA MAJI.USIPOYAOGA BASI LAZIMA UTAYANYWA.
Chadema ni mpango mzima Usipoikiri kwa Kinywa Basi lazima Utaikiri Rohoni.
Huu ndio wakati wa Kujua Mchele ni upi na Pumba ni Zipi. 2015 hakuna cha nilikatwa jina kwenye kura za Maoni Ccm! Hatutakua tayari kupokea Mamluki na Magamba dakika za Majeruhi.
Hongera sana Profesa J.umefanya uamuzi sahihi Kujiunga na wapigania uhuru wa kweli ktk harakati za kumngoa MKOLONI MWEUSI CCM.
MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!