Msanii jela miaka 10 kwa kumiliki fisi

Narudia tens: Mahakimu vilaza hawa au wa nataka kujipendekeza huku wakiwa hawajui miongozo na kanuni za kazi hao.Ni hivi, chini ya Mwenendo wa Mashtaka ya Jinai, MTU akihukumiwa kulipa faini sio lazima afungwe iwapo muda rule anakuwa hana faini. Bail inatakiwa iwe extended kwa muda, sema wiki mbili ili mhusika akatafute hiyo faini.
Na hiyo faini inayolingana na thamani ya fisi ni ya nini kama fisi wenyewe wamechukuliwa na serikali?
Nitarudi
 
Narudia tens: Mahakimu vilaza hawa au wa nataka kujipendekeza huku wakiwa hawajui miongozo na kanuni za kazi hao.Ni hivi, chini ya Mwenendo wa Mashtaka ya Jinai, MTU akihukumiwa kulipa faini sio lazima afungwe iwapo muda rule anakuwa hana faini. Bail inatakiwa iwe extended kwa muda, sema wiki mbili ili mhusika akatafute hiyo faini.
Na hiyo faini inayolingana na thamani ya fisi ni ya nini kama fisi wenyewe wamechukuliwa na serikali?
Nitarudi

nimekupata, kama fisi wamechukuliwa na serikali faini alipe ya nini? Hao fisi sio fisi pori huko serikalini nani atawajibika kuwafuga na watafugwa wapi? au ndo wataanza kurandaranda vijijini na kuleta taharuki?
 
Huyo fisi hafiki hata Bilioni, kafungwa miaka 10
Wale waliopoteza 11bil miaka 2
 
huyu hakimu sidhan kama ametumia ubongo,au kwakuwa ni msanii masikini wa huko vijijin,mm nakumbuka kijijin mtu kumilik mnyama pori ilikuwa kawaida na n natural,hz sheria za kisenge,tena jamaa amekiri kabisa na kusema hakujua kama ni kosa na matendo yanaonyesha hakuwa anajificha
 
Uonevu wa Kiwango cha PhD ambao sijapata kuuona . Dah kweli sheria zetu ni kwa ajili ya maskini tu.
 
Labda aligoma kushiriki kwenye mikutano ya CCM, nakumbuka wakati wa ziara za katibu wa ccm akiwa na katibu mwenezi wakieneza chama hawa fisi waliwatumia sana.Kama ni waungwana wamsaidie huyu bwana apate wakili kesi irejewe upya ni uonevu mkubwa sana, na huyo hakimu ajipime kama anatosha.
 
Bora hata wangemfanyia kama walivyofanya kwa wale jamaa wa EPA kwa kuwaambia warudishe fedha alafu hawafungwi, na huyu wangemwambie awarudishe porini ama warekebishe suala la vibali awe anawamilki kihalali kwa shughuli za kiutamaduni na kuingiza mapato kwa serikali kuliko kumfunga alafu anakula ugali wa serikali
 
UKIITWA KUTOA BURUDANI KWA MGOMBEA WA C.C.M UKAKATAA, HAKUNA NAMNA NYINGINE, Ni Kifungo Tu, Maana Hakuna Namna Nyingine, Wanasheria Wa Ukawa Fatilieni Hiyo Kesi Mkamtoe Huyo Msanii Wenu.
 
Nimeongea na wakili mmoja mwanza amesema tutashirikiana nae kuhakikisha rufaa inakatwa na mwendendo mzima wa kesi unapitiwa.
Inaonekana kanda ya ziwa kuna vituko sana kwenye mahakama.Kuna ile kesi ya mbwa kuitwa IMAGRATION hakimu aliamuru mbwa yule apigwe Mawe mpaka afe kisa hilo jina
 
Nimeongea na wakili mmoja mwanza amesema tutashirikiana nae kuhakikisha rufaa inakatwa na mwendendo mzima wa kesi unapitiwa.

Hili ndio suala la msingi!
Niko tayari kuchngia chochote ili kumpa msaada huyo jamaa!!
Umoja wetu ndio nguvu ya masikini
 
Back
Top Bottom