Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,281
- 12,448
Huyo fisi hafiki hata Bilioni, kafungwa miaka 10
Wale waliopoteza 11bil miaka 2
Imepunguzwa kaka.Mahakama ilisikiliza rufaa ya waliotusababishia hasara ya billion 11 yaani shilingi milioni elfu kumi na moja na kupunguza adhabu yao kutoka miaka mitatu mpaka mwaka mmoja.Na kuna uwezekano wakapata msamaha.