Msanii mkongwe sema currently alikuwa anajihusisha sana mambo ya IT kama sikosei ,kuna ile appl ya m paper sijui ndo wale smartcdes ndo nilikuwa namuona kwa sana...
Bro unataka Cpwaa humjui au ndiyo unataka full detailCpwaa ni nani?, jina lake kamili, anaishi wapi, ni mkongo au mbantu, amefia WAP, kwa ugonjwa gan, taarifa umezipata wapi n.k
Cpwaa ni moja kati ya wasanii wasomi na wenye uwelewa mkubwa sana. Ukisikia hata kuongea kwake utajua tu kuwa ni mtu anaejitambua sana. R.I.P Cpwaa
Hivi watu mnaangalia tu picha halafu mnanyooka kucomment bila kusoma??!! Hujaona sababu ya kifo hapo?? Wabongo bwn!!!Aliumwa au ajali? Ongeza maelezo kidogo
ipo wapi?Yeah alikuwa alazwa hospital moja na limashine la mvuke aliwekewa ila naona kiloki kiligoma kutoka! Jamani Corona ipo na hiyo nimonia wanayosema imempeleka basi changanya na zako.
naam, Aliua sana kwenye chorus ya "Utamu bila kunawa" ya TMK Majita, akiwa na msuli piaDah jamaa alikuwa na style ya kipekee anapiga shoo kagonga msuli.
Pole kwa wafiwa.
Pneumonia, yaani aina Fulani ya "matatizo ya kupumua".Aliumwa au ajali? Ongeza maelezo kidogo
Mwenza kawa ostadh yeye alikuwa bado typo kwenye harakati
Gharama ya kuongozwa na mpenda sifa ni kubwa sana, kila mtu ajisimamie kama yeye anavyokimbilia kijijini kila mambo yanapopamba moto huku akijisifu ameifukuza kwa maombi.Siku nikimsikia baba yangu amerudi nyumbani basi nitajua Koona imeisha au kupungua. Hali si hali toka katikati ya Novemba 2020. Mlonganzila, Muhimbili, Aghakan na Hindumandal ni hospital zenye kutoa huduma nzuri sana. Mpende jirani yako kama ujipendavyo wewe mwenyewe. Hii amri ni ngumu sana ila ukiitekeleza ni thawabu kubwa sana. Ogopa sana binadamu mdanganyifu.
MuftiYeah suma lee anatema vifungu vya quran tu
Kuna ngoma aliipandisha YouTube mwaka jana amemshirikisha Ngwair.Enzi zile nilipenda afanya collable na Mangwea