hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
Cp anaishi aliwahi kuishi magomeni.. area za magomeni mikumi ndio kwao kwa bimkubwa wakeMagomeni ya wapi? Dar au Tanga?
Cp anaishi aliwahi kuishi magomeni.. area za magomeni mikumi ndio kwao kwa bimkubwa wakeMagomeni ya wapi? Dar au Tanga?
CP=Change PointCP=Crazy Power
Umeanza kusikiliza music juzi....???Mi nlijuaga mshkaji sio mbongo maana anasound ki mbele mbele
hakika kibso matata sanaNamkumbuka kwenye kile kibao "action". RIP
6 IN D Ma
My favourite Track ni 6 In Da Morning huwa haikosi kwenye Majani Playlist zangu.
Rest Easy CP! Japo hajawahi kuelezea kirefu cha CP but i think he meant Computer Programmer!
"Hakuna siku naamka bila hangover,na asubuhi nashushia na kiroba,Ni CP mtoto wa kipekee,maskani kwangu ni bar.6 IN D Ma
My favourite Track ni 6 In Da Morning huwa haikosi kwenye Majani Playlist zangu.
Rest Easy CP! Japo hajawahi kuelezea kirefu cha CP but i think he meant Computer Programmer!
Na habar ni kwamba alilazwa siku 3 hapo Muhimbilia akisumbukiwa na nimonia.bila kuchua tahadhari na kuacha midhahaa COVID19 itatumaliza, RIP CPWAA,
NimoniaAliumwa au ajali? Ongeza maelezo kidogo
Kama ni kizazi cha muziki w kina Marioo hutomjua kirahisiAlikuwa anaishi Tanzania?
"Simamisha kwanza pwaa,kwani tunasikia njaa,waiter lete ndizi.makange ,...Duh, Pumziko La Amani Apate Mwamba.
Nakumbuka ni Wasanii wa muda tu, kuna ngoma yake moja kuna mstari unasema "ndani ya daladala naachia kitu like....."
Tz wavivu sana wakusoma maswali yako yote yamejibiwa kwenye heading na internal thread some time ficha ujinga wako.Cpwaa ni nani?, jina lake kamili, anaishi wapi, ni mkongo au mbantu, amefia WAP, kwa ugonjwa gan, taarifa umezipata wapi n.k