Msambwanda ni furaha ya macho tu

Msambwanda ni furaha ya macho tu

0bd0ca926c85009143603c8e4300a5f4.jpg
Mh!
 
Maajabu ni kwamba msambwanda skuizi kama basic needs kwa mwanamke maana Wanaume wenyewe mnataka portable vyenye kitonga sio yenye imenyooka kama rula ,,anyway kila mtu na chaguo lake ,,,
 
Maajabu ni kwamba msambwanda skuizi kama basic needs kwa mwanamke maana Wanaume wenyewe mnataka portable vyenye kitonga sio yenye imenyooka kama rula ,,anyway kila mtu na chaguo lake ,,,
Tupe sifa zako, na kapicha ukikapost itakua powa zaidi
 
Habari za kutwa wadau wa mambo yetu yaleeeee.........

Siku hizi kumeibuka Vijana wengi kupenda misambwanda, na hii imepelekea wadada wengi kutumia madawa ya kichina kuongeza makalio na wengine kupelekea kufanyiwa upasuaji.........

Wanawake wanabadilika kutokana na mahitaji ya wanaume wanachovutiwa nacho kuendana na wakati ili na wao wasiwe wanakosa mtu anayewavutia...

Nikiri wazi kabisa, misambwanda inapagawisha unapokutana nayo, usipokua makini waweza kuacha njia au ukagongwa na vyombo vya moto....
Lakini, unapohitaji kufaidi hivi viumbe, misambwanda sio dili...

Hivi viuno vya dondora hivi ndiko tunakoacha maisha na uhondo wenyewe, walah! Kiuno cha dondora kina mambo mengi mnoooo!...

Walah!Kiuno cha dondora utake style gani usipewe,... Uende goli ngapi usipewe,.....

Nilikua muumini mkubwa wa msambwanda, lakini nimegundua naibiwa,.... Nahamia mtaa wa saba!
Maendeleo kwenye viuno. Ndo TZ hii

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
mwanamke mwembamba kdg mwenye kijitako aisee! anaweza kukufanya ufie kifuani hawa viumbe in hatari sana.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Umeona eeehh..Sio siri tuna raha yake jamani
 
Mhmmm mwanamke bila kalio ukweli naidhurumu nafsi yangu,ukikosa kalio sifa kwangu huna kabisa face does matter to me.

Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
 
Weweeee...!

Usifananishe misambwanda original na kaukau.
 
Mkubwa sio fair kabisa unachonifanyia, alitakiwa aamke na kutuelekezea sambwanda huku

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Kwani nawe ni mdau wa sambwanda?
 
Back
Top Bottom