Wasalaam wanaJF
Naomba kwa anayefahamu anisaidie kufahamu jinsi kodi inavyokokotolewa endapo nitanunua gari lililokuwa na msamaha wa kodi (Tax exemption) ambalo liliingizwa nchini TZ mwaka 2000. Mwenye nalo (raia wa kigeni) analiuza kwa USD 15,000. Ni Landcruiser Prado la 1998. Naomba msaada wa kuelimishwa.natanguliza shukrani.
Naomba kwa anayefahamu anisaidie kufahamu jinsi kodi inavyokokotolewa endapo nitanunua gari lililokuwa na msamaha wa kodi (Tax exemption) ambalo liliingizwa nchini TZ mwaka 2000. Mwenye nalo (raia wa kigeni) analiuza kwa USD 15,000. Ni Landcruiser Prado la 1998. Naomba msaada wa kuelimishwa.natanguliza shukrani.