Msamaha wa dhati kutoka kwa Heaven On Desert

Msamaha wa dhati kutoka kwa Heaven On Desert

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Ni dkika chache kabla haijatimia sa 9 za usiku, ikiwa ni baada ya kukamilisha kazi zangu (coz mojawapo ya kazi zangu ni blogger na kumanage social networks, ni mitandao inayohitaji upadates za mala kwa mala, nisisitize tu kuwa ninaipenda sana sana kazi kazi, nafanya kazi kwa bidii na huwa nina mda mfupi sana wa kupumzika or kulala) so kabla sijafunga kitendea kazi changu (laptop) ninatafakari kuhusu maisha yangu,nilikotoka, nilipo na ninakoenda.

Nafakari jinsi ninavyoishi na watu,na kiukweli HOD wanavyomchukulia watu wa JF siyo HOD wa hapa mtaani,ni mtu anaependwa na kila mtu, ni mtu anayezungumza kwa amani na kila mtu, ni mtu asiye na visasi wala kuweka chuki rohonni mtiifu kwa kila mtu, pengine ndiyo sababu inayomfanya atengeneze marafiki wapya kila siku japo TITLE nayo inawezakuwa inachangia. Na zaidi HOD ni mtu asiyejari sana kuhusu watu wanasema nn juu yake na zaidi ni mvumilivu sanana ndio sababu yupo alipo leo..

Ntafakari kuhusu idadi ya watu nisio na maelewano nao,idadi naona ni ndogo,kama nilivyosema me si mtu wa visasi,mwepesi kuomba radhi ,kusamehe na kusahau wanaosalia ni wale tu wenye chuki zao zisizo na sbabu ya msingi,ninjamboa la kawaida ni watu ambao tupo nao popote ,wanaifanya dunia izunguke vizuri.

Lkini pamoja na hayo mi ni binadamu tu dhaifu,ninaeweza kukosea mda wowote ninaeweza kumkosea mtu yeyote, na pengine unaweza mkosea mtu kihisia si tu kwa kitendo, ninapenda sana kuishi kwa amani, ndiyo manan ani mtu nisiejari nani anazungumza nini. Nafahamu umhimu wa msamaha, kusamehe na kusamehewa, hivyo basi ninachukua nafasi hii kwa ndugu zangu, rafiki zangu, fans wangu (i mean wanopenda kufuatilia thread zangu,na wanaonipenda tu pengine kwa kaz zangu)na wengine wote, kwa dhati kabisa naombeni kama kuna mtu nimewahi mkwaza kwa vvyovyote, aidha kwa matamshi yangu ama vyoyote,ANISAMEHE, mimi nishasamehe kila mtu hata kabla sisjaanza kuandika ninachokiandika.

Kwa wale ndugu zangu ambao mim kwao sina jema, wale wenye chuki tuu binafsi pasipo sababu za msingi wasijari,sina tatizo nao, na wala siwachukii, kwa sababu sina reason ya kuwachukiza nina imani siku moja watakuwa by my side na kuwa rafiki wema.

Ahsanteni sana ,usiku mwema
 
Hahaha,we jamaa tatizo unajishuku sana,wewe ukiweka post wakaponda ndo kwamba wanakudis?.
Jf ndo walivyo mikwara mingi si mtu anajua anatumia jina bandia so anajiachia.
 
mimi ninavyoona hakuna anaekuchukia @JF ni sio wanafki kabisaaaaaaa penye ukweli watasema ukweli na penye uongo hawataficha na tatizo lako hupendi kuambiwa ukweli unaona kama unaonewa siku zote ukweli unauma sana
usiwe mtu wa jazba jaribu kurekebisha panaporekebishika
jaribu kuangalia umejikwaa wapi ili ujirekebishe otherwise utaona unachukiwa kumbe sivyo
 
Ahsante kwa kunisamehe
mi pia nimekusamehe juzi ulidanganya unaitwa Andrea wakati sio kweli nishakusamehe
mi ni shabiki wako mkubwa nakukubali sana
sina chuki wala tatizo na wewe
 
hawakuchukii
wanakurekebisha

na matunda ya marekebisho hayo yanaonekana
 
mi nimekusamehe ila naona kale katabia ka kujipaisha bado unako jitahidi kuwa karibu na watu na usijiandike kwamba wewe ni smart sana jaribu kuangalia bloggers wengine wanavyopendwa na kila mtu. mfano kina millard.majid.djchoka to mention a few
wewe umekalia kujisifu hapa jf badala ya kufanya kazi zijulikane zaidi.
 
Hivi hii sinema yenu bado inaendelea tu...

Kijana jifunze matumizi mazuri ya lugha sanifu hususani matumizi ya herufi 'r' na 'l', hii itakusaidia katika kazi yako
 
mkuu mi nakushauri punguza jazma nimekuwa nafarilia habari unazozitoa either kuhusu wewe au diamond mara nyingi unajibu kwa jazba JF ni jukwaa lenye changamoto hasa
 
acha kujishuku,,.


Kwani uko peke yako Jf!!



Unajitafutia cheap popularity!!
 
Tatizo kujipaisha kwingi na hako katabia ka kujieleza shuguli zako na mafanikio yako ndio maana wanakudis. Punguza misifa isiyo na maana. Hvi ww unawachukuliaje watu walio humu jf? Watu wana mishe zao tena za maana lakin hujawahi kuona anayejipaisha kama ww. Mwanaume sio tantalila bali ni vtendo mkuu
 
Hivi hii sinema yenu bado inaendelea tu...

Kijana jifunze matumizi mazuri ya lugha sanifu hususani matumizi ya herufi 'r' na 'l', hii itakusaidia katika kazi yako

mkuu hayo ndiyo matatizo ya la pili B ya memkwa
 
updates za mara kwa mara sio mala kwa mala.

Hivi hii sinema yenu bado inaendelea tu...

Kijana jifunze matumizi mazuri ya lugha sanifu hususani matumizi ya herufi 'r' na 'l', hii itakusaidia katika kazi yako

mkuu hayo ndiyo matatizo ya la pili B ya memkwa

keyboard yake ''r'' imeng`oka..
hp-pavillion-key-repair-0025-500x427.jpg
 
Ni dkika chache kabla haijatimia sa 9 za usiku, ikiwa ni baada ya kukamilisha kazi zangu (coz mojawapo ya kazi zangu ni blogger na kumanage social networks, ni mitandao inayohitaji upadates za mala kwa mala, nisisitize tu kuwa ninaipenda sana sana kazi kazi, nafanya kazi kwa bidii na huwa nina mda mfupi sana wa kupumzika or kulala) so kabla sijafunga kitendea kazi changu (laptop) ninatafakari kuhusu maisha yangu,nilikotoka, nilipo na ninakoenda.

Nafakari jinsi ninavyoishi na watu,na kiukweli HOD wanavyomchukulia watu wa JF siyo HOD wa hapa mtaani,ni mtu anaependwa na kila mtu, ni mtu anayezungumza kwa amani na kila mtu, ni mtu asiye na visasi wala kuweka chuki rohonni mtiifu kwa kila mtu, pengine ndiyo sababu inayomfanya atengeneze marafiki wapya kila siku japo TITLE nayo inawezakuwa inachangia. Na zaidi HOD ni mtu asiyejari sana kuhusu watu wanasema nn juu yake na zaidi ni mvumilivu sanana ndio sababu yupo alipo leo..

Ntafakari kuhusu idadi ya watu nisio na maelewano nao,idadi naona ni ndogo,kama nilivyosema me si mtu wa visasi,mwepesi kuomba radhi ,kusamehe na kusahau wanaosalia ni wale tu wenye chuki zao zisizo na sbabu ya msingi,ninjamboa la kawaida ni watu ambao tupo nao popote ,wanaifanya dunia izunguke vizuri.

Lkini pamoja na hayo mi ni binadamu tu dhaifu,ninaeweza kukosea mda wowote ninaeweza kumkosea mtu yeyote, na pengine unaweza mkosea mtu kihisia si tu kwa kitendo, ninapenda sana kuishi kwa amani, ndiyo manan ani mtu nisiejari nani anazungumza nini. Nafahamu umhimu wa msamaha, kusamehe na kusamehewa, hivyo basi ninachukua nafasi hii kwa ndugu zangu, rafiki zangu, fans wangu (i mean wanopenda kufuatilia thread zangu,na wanaonipenda tu pengine kwa kaz zangu)na wengine wote, kwa dhati kabisa naombeni kama kuna mtu nimewahi mkwaza kwa vvyovyote, aidha kwa matamshi yangu ama vyoyote,ANISAMEHE, mimi nishasamehe kila mtu hata kabla sisjaanza kuandika ninachokiandika.

Kwa wale ndugu zangu ambao mim kwao sina jema, wale wenye chuki tuu binafsi pasipo sababu za msingi wasijari,sina tatizo nao, na wala siwachukii, kwa sababu sina reason ya kuwachukiza nina imani siku moja watakuwa by my side na kuwa rafiki wema.

Ahsanteni sana ,usiku mwema

Kwanza, namuomba Mwenyeezi Mungu asinikutanishe na hizo blog zako, ikiwa uandishi wenyewe ni namna hii! huko kutakuwa ni kuchefuchefu tu.

Pili, nimeshakerwa na nimechukia na namna unavyoandika jirekebishe, la sivyo sikusamehi daima.

Tatu, ungeshambuliwa kama anavyoshambuliwa FF humu JF ungeshajiua.

Nne, njoo u-edit hayo makosa yako.
 
Back
Top Bottom