Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
nimesoma post nyingi humu ndani zinaonyesha kama mwanamke anapokosa mfano amecheat haitaji msamaha hapo hapo nikiwasoma wanaume wanavohalalisha kuwa na mahusiano nje ya ndoa zao kwanini wamama tu ndo hawaitaji msamaha lakini wanaume kwao ni sawa wafanyayo