ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,253
- 8,343
Hadi waume na wake zetu tutawalipia ada.....na bado, ndege za cash zitatunyooshaHela itasakwa kila sehemu msimu huu
Hadi waume na wake zetu tutawalipia ada.....na bado, ndege za cash zitatunyooshaHela itasakwa kila sehemu msimu huu
Hadi waume na wake zetu tutawalipia ada.....na bado, ndege za cash zitatunyoosha
Hizi sheria hazojatungwa na bunge letu; zimekumbatiwa tu; ndiyo maana tunawalaumu hawa jopo la k utunga sheria kuwa wanafanya kazi chini ya kiwango. Hawana kabisa uwezo wa kuziidadavua sheria na kuona madhara yake.Wakuu tusijilaumu sana, sisi na sheria bila shuruti ni kama maji na mafuta, hatuendani kabisa, sheria kwenye kila jambo nchini zipo, hata kwenye maliasili na rasilimali zetu, ila kama mjuavyo, tumekuwa hatuzifuati sasa kwa miaka kadhaa, tulizoea kuishi maisha yetu kama wanyama wa misituni, ghafla JPM kakazia kuzifuata imekuwa issue, amini usiamini wajengaji tulikuwa tuking'oa hata mawe ya mipaka hata kuyasogeza kwa faida yetu, dola inapotujia juu hasa kwenye swala la miundo mbinu (kwa faida yetu) bado hatuelewi na kuona karaha ya ajabu...Hasira zetu at least zinakimbilia kuwa wakinzani kwa chama tawala, tukidhani eti nawo wakiingia madarakani kila kitu kitakuwa ruksa?!
Ila tutazoea, hakuna jinsi, binafsi pia naipata joto la jiwe na sheria za nchi lakini bora hivyo kuliko vinginevyo...
Kutokujua kwetu kumesababishwa na hao hao serikaliNlikuwa sijui hebu nifahamishe zaidi. Maana kuna vitu tunaona Serikali inatunyanyasa kumbe ni kutokujua kwetu
Ndio, Mi nipo njiani kujenga KisimaKwa hiyo unatetea?
Viwanda ni vya kwenye makaratasi tu,mwijage alisema yeye ni mpiga sound tuturudi kwenye mada: tanzania ya viwanda. miaka mitatu ishakatika hata cherehani 4 hatuzioni. mwakani msimu wa fitna za uchaguzi. viwanda lini?
Bado kodi ya wazinzi iko njianiSheria ndogo ya huduma ya choo inakuja, mtu yeyote mwenye choo au aneyeenda choon/ kushusha mzigo inabidi alipe ada ya utathimin wa mazingira na utafiti wa ikolojia
Huyu jamaa ni Afisa Maji Bonde la Wami/Ruvu , mie wa Dar ananihusu nini?SERIKALI kuanza msako wa wamiliki wa visima visivyolipiwa ada ya matumizi ya maji kwa ajili ya kuwachukulia hatua za kisheria kwa kuwafikisha mahakamani. Akizungumza na wanahabari leo tarehe 19 Novemba 2018 jijini Dar es Salaam, Afisa Maji Bonde la Wami/Ruvu, Simon Ngonyani amesema watumiaji wa maji wasiofuata taratibu za kisheria, ikiwemo wamiliki wa hoteli 100, vituo vya mafuta 25 na kampuni 11 watafikishwa mahakamani.
“Hawa watu tukiwapelekea mahakamani tunacho wadai ni zaidi ya milioni 200 na kitu, ukiangalia kuna wengine wana madeni yaani mtu ana kisima miaka kumi iliyopita halipi, tuu hadi leo hizo nazo hatutamuacha nazo atalipa zote, baada ya kufanya zoezi zima tutajua tunawadai shilingi ngapi,” amesema Ngonyani.
Akielezea kuhusu ada za matumizi ya maji, Ngonyani amesema sheria inataka wamiliki wa visima kulipa ada hizo ili zisaidie kwenye masuala mbalimbali ikiwemo utafiti wa mwenendo wa maji chini ya ardhi.
“Sheria inasema hata kama umechimba mwenyewe, sheria inasema ulipe ada ya matumizi ya maji hayo ili hiyo ada itumike, kwa mfano inatakiwa kuangalia mwenendo wa maji ndani ya ardhi ikiwemo ubora wa maji. Sababu tuko karibu na bahari hivyo maji ya bahari yanaweza kupanda juu umechimba kisima leo maji mazuri, unashangaa mwaka mmoja au miaka fulani maji yana chumvi,” amesema Ngonyani.
Hahaha hujui km dar ipo bonde la ruvuHuyu jamaa ni Afisa Maji Bonde la Wami/Ruvu , mie wa Dar ananihusu nini?
Hapo patakuwa patamu sana ,ukigoma kulipa wanakunyang'anya pumziTunapo elekea, itafikia muda hata pumzi tutalipishwa kodi kwasababu tuna pumua
Ahsante sana mkuu, umemaliza kabisa.qui quid plantatur solo solo cedit
Ahsante sana mkuu, umemaliza kabisa.qui quid plantatur solo solo cedit
Kisima achimbe mwenyewe..kwa matumizi yake mwenyewe....gharama za kupandisha maji za kwake mwenyewe.......halafu kodi mchukue nyie..bila hata aibu...
Africa bado kuna sheria za kikoloni...yaleyale ya kodi ya kichwa