Msaka urais ndani ya msikiti

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,314
Si ndio wanasema ni ------ inakuweje kazama humo?
 
Nyingine hii hapa
 

Attachments

  • 1435829855144.jpg
    6.8 KB · Views: 1,183


Nasikia jina lake halisi ni Bakari msome Vuta NIKUVUTE vizuri.
 
Duh haya madaraka yatafanya watu wakufuru
 
Watu(watangaza nia) wangekuwa wanajali wananchi wao hivi wakati wa uongozi nchi hii ingekuwa mbali sana.
 


Nasikia jina lake halisi ni Bakari msome Vuta NIKUVUTE vizuri.

huyu bwana Baqary mbona nimwenzetu ktk imani nashangaa kwanini anajificha huku mitaa ya home kunandugu zake wadamu wamethibitisha kama ubin anaotumia niupande wa mamayake.
 
Bado kwa sangoma na makaburini..maana huko wanaenda lakin hawapigi pichaa
 
Bakari aka Bernad. Kazi ipo mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…