Marire JF-Expert Member May 1, 2012 12,326 5,266 Jul 2, 2015 #1 Si ndio wanasema ni ------ inakuweje kazama humo?
Marire JF-Expert Member May 1, 2012 12,326 5,266 Jul 2, 2015 Thread starter #2 Nyingine hii hapa Attachments 1435829855144.jpg 6.8 KB · Views: 1,173
Ngongo JF-Expert Member Sep 20, 2008 18,930 31,172 Jul 2, 2015 #3 Nasikia jina lake halisi ni Bakari msome Vuta NIKUVUTE vizuri.
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Jul 2, 2015 #4 Ngongo said: Nasikia jina lake halisi ni Bakari msome Vuta NIKUVUTE vizuri. Click to expand... Kumbe anaitwa beka
Ngongo said: Nasikia jina lake halisi ni Bakari msome Vuta NIKUVUTE vizuri. Click to expand... Kumbe anaitwa beka
saimon111 JF-Expert Member Apr 5, 2012 1,736 1,352 Jul 2, 2015 #5 Duh haya madaraka yatafanya watu wakufuru
MOTOCHINI JF-Expert Member Jan 20, 2014 27,580 30,010 Jul 2, 2015 #6 Watakwenda na kule kusiko tazamiwa
H hippocratessocrates JF-Expert Member Jul 1, 2012 3,598 1,539 Jul 2, 2015 #7 Watu(watangaza nia) wangekuwa wanajali wananchi wao hivi wakati wa uongozi nchi hii ingekuwa mbali sana.
Watu(watangaza nia) wangekuwa wanajali wananchi wao hivi wakati wa uongozi nchi hii ingekuwa mbali sana.
Miunda JF-Expert Member Aug 26, 2014 530 180 Jul 2, 2015 #9 hippocratessocrates said: Watu(watangaza nia) wangekuwa wanajali wananchi wao hivi wakati wa uongozi nchi hii ingekuwa mbali sana. Click to expand... Wala wasinge fika msikitini kuhubiri siasa wala kanisani kama wangelikuwa wanajali wananchi,
hippocratessocrates said: Watu(watangaza nia) wangekuwa wanajali wananchi wao hivi wakati wa uongozi nchi hii ingekuwa mbali sana. Click to expand... Wala wasinge fika msikitini kuhubiri siasa wala kanisani kama wangelikuwa wanajali wananchi,
foxyizafa JF-Expert Member Jun 5, 2015 224 56 Jul 2, 2015 #10 Ngongo said: Nasikia jina lake halisi ni Bakari msome Vuta NIKUVUTE vizuri. Click to expand... huyu bwana Baqary mbona nimwenzetu ktk imani nashangaa kwanini anajificha huku mitaa ya home kunandugu zake wadamu wamethibitisha kama ubin anaotumia niupande wa mamayake.
Ngongo said: Nasikia jina lake halisi ni Bakari msome Vuta NIKUVUTE vizuri. Click to expand... huyu bwana Baqary mbona nimwenzetu ktk imani nashangaa kwanini anajificha huku mitaa ya home kunandugu zake wadamu wamethibitisha kama ubin anaotumia niupande wa mamayake.
charty JF-Expert Member Oct 28, 2013 7,460 5,975 Jul 2, 2015 #11 Bado kwa sangoma na makaburini..maana huko wanaenda lakin hawapigi pichaa
Mfamaji JF-Expert Member Nov 6, 2007 6,631 1,926 Jul 2, 2015 #12 Bakari aka Bernad. Kazi ipo mwaka huu.