Msajili wa vyama aombwa aifute CHADEMA

Msajili wa vyama aombwa aifute CHADEMA

Labda ningependa kujiua hawa wanaojiita viongozi wa dini huku maana halisi ya wanachokisimamia hawakijui wakati wa tukio la mlipuko wa BOMU katika ule mkutano wa CHADEMA pale soweto walitoa tamko gani? na hili la juzi la kuchomwa ofisi ya CHADEMA wametoa kauli gani? baada ya kuchinjwa mwenyekiti wa CDM pale Usariver huku watuhumiwa wakitoroshwa na Polisi ha wa jamaa walitoa kauli gani? Hawa wanaojiita viongozi wa dini wanatakiwa watambue CHADEMA inahitaji majibu kwanza kutoka katika vyombo vya usalama kabla ya kuingia kwenye majadiliano ya maridhiano
 
kuifuta chadema ni ndoto za kichaa kujenga ghorofa angani
 
Nakipongeza CHADEMA kwa maamuzi haya ambayo yanakiimarisha zaidi chama na kuepuka kejeli za ccm Kwa wanamageuzi kuwa wamewanunua
 
Naona sasa hawa masheikh na maaskofu wanakosa ya kuhubiri.
 
Ndani ya viwanja vya stadium Arusha viongozi wa dini maaskofu mashekh na viongozi wa vyama vya siasa wametoa rai

Kwa msajili wa vyama aifute chadema kwani hawataki Amani nandiyo maana leo wameigome siku ya leo

Viongozi wa dini nao nnaona wamenyweshwa mvinyo na kusahau hakuna amani inayopatikana kama hakuna au HAKI,Serikali tendeni haki kwa jamii(wananchi -Watanzania) ,haya matamko yasiokuwa na miguu wala kichwa hayana tija.Kwani katika huo mkutano Arusha walikuwa wanafanya maridhiano au walikuwa wakijadili amani?,kwani amani inajadiliwa ?
 
Labda ningependa kujiua hawa wanaojiita viongozi wa dini huku maana halisi ya wanachokisimamia hawakijui wakati wa tukio la mlipuko wa BOMU katika ule mkutano wa CHADEMA pale soweto walitoa tamko gani? na hili la juzi la kuchomwa ofisi ya CHADEMA wametoa kauli gani? baada ya kuchinjwa mwenyekiti wa CDM pale Usariver huku watuhumiwa wakitoroshwa na Polisi ha wa jamaa walitoa kauli gani? Hawa wanaojiita viongozi wa dini wanatakiwa watambue CHADEMA inahitaji majibu kwanza kutoka katika vyombo vya usalama kabla ya kuingia kwenye majadiliano ya maridhiano


Mkuu hao viongozi wa dini ni njaa tu zinazowasumbua na hakuna kingine ,kile walitendewa binaadamu-Watanzania wanachama wa Chadema ktk mkutano pale Soweto sio haki.Walinyang'anywa haki yao ya kuishi/kuchagua/kuamua.Serikali inahusika kwa kushindwa kuwawajibisha wale walitekeleza lile tukio na tulishuhudia kauli tata za Waziri katika ofisi ya raisi ndugu Willium Lukuvi na katibu wa itikadi na uenezi ccm ndugu Nnape Nauye na wengine wengi waliofuatia kwa kukihusisha chama cha Chadema na mlipuko huo.

Nnasikitika mengi kati ya yale yalitokea hao wanaojiita viongozi wa dini wameyasahau,wananchi tunaosimamia ukweli tunayakumbuka haya na hatutayasahau na kwa tamko lenu hilo ninyi mnaojiita viongozi wa dini na "MLAANIWE"
 
Embu ajaribu kuifuta CHADEMA kama hajatangulia kufutwa yeye, amuulize Tendwa kilichomkuta mara baada ya kutangaza kuifuta chadema
 
Walipochoma ofisi yao wenyewe ndowatu walianza kushitukia mkakati wao wa kutoka shiriki!
 
Mwenyekiti wa CCM Arusha Ole Nangole
kazomewa mbaya kwenye kongamano la
amani Arusha alipoanza kumsifu RC Mulongo
na meya Lyimo. Ilikuwa baada ya msajili jaji
mutungi kufungua mkutano viongozi wa dini
na vyama vya siasa walikuwa wanapewa dk 4
kusalimia ndipo ilipofika zamu ya ccm ole
nangole akasisitiza umuhimu wa kulinda
amani kwaa maendeleo akasema hata wakati
wanasiasa tukizozana na kuandamana rc na
meya walikuwa wanachapa kazi is mnaona
barabara za lami kila mahali maji taa
barabara zote watu waliokuwa wamekaa kulia
kwa jukwaa wakaanza kuzomea kwa sauti
ikabidi asiendelee ashukuru akarudisha kipaza
sauti kwa mc
 
Embu ajaribu kuifuta CHADEMA kama hajatangulia kufutwa yeye, amuulize Tendwa kilichomkuta mara baada ya kutangaza kuifuta chadema


Kumbukumbu imewatoka hawa misukule Mkuu!
Nakwambia hapa wanajifurahisha tu!
 
Mwenyekiti wa CCM Arusha Ole Nangole
kazomewa mbaya kwenye kongamano la
amani Arusha alipoanza kumsifu RC Mulongo
na meya Lyimo. Ilikuwa baada ya msajili jaji
mutungi kufungua mkutano viongozi wa dini
na vyama vya siasa walikuwa wanapewa dk 4
kusalimia ndipo ilipofika zamu ya ccm ole
nangole akasisitiza umuhimu wa kulinda
amani kwaa maendeleo akasema hata wakati
wanasiasa tukizozana na kuandamana rc na
meya walikuwa wanachapa kazi is mnaona
barabara za lami kila mahali maji taa
barabara zote watu waliokuwa wamekaa kulia
kwa jukwaa wakaanza kuzomea kwa sauti
ikabidi asiendelee ashukuru akarudisha kipaza
sauti kwa mc


Safi sana na ashukuru sikuwepo kwani ningekuwa na kumwambia!
Hana adabu hata kidogo. Eti barabara zote zina lami?
 
Back
Top Bottom