Hujambo na Karibu.
Kongamano la Maridhiano katika Mji wa Arusha, Umeingia dosari baada Chama kishiriki kutohudhuria, Kongamano hilo la Amani likiwa na Ujumbe kutoka ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Limekuja wakati ambapo Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Kikilishutumu jeshi la polisi Mkoani Arusha kuwa ni Vinara wa uvunjaji wa Sheria, Mwenyekiti aliyeongoza ujumbe huo kutoka Makao Makuu ya Ofisi ya Msajili wa Vyama, Alisema.
Ndugu zetu Chadema hawajafika, Tuwaache wana maana yao, Hata hivyo wananchi waliokuwepo walianza kupiga kelele kuashieia hawapendi Chadema isungumzwe vibaya, Kongamano limeisha hakuna reconsiliation iliyofanyika.
Chadema kama mlengwa wa Maridhiano haya haikuonekana, Je ccm ina lengo gani kutaka Maridhiano ili hali damu za watu zimeshamwagika?