Imemtokea mtu wangu wa karib.Amekuwa kwenye mahusiano na bf wake kwa mda.Amepata ujauzito na akamwambia mwenzie akafurah na kukubali kuilea mimba yake.Tatizo linakuja pale yule dada anapotaka kulea mimba yk akiwa ndani ya ndoa,kwan mwanaume anasema hawawez kuoana now, na huyo dada yupo chuo anavyoijuwa familia yake inaweza jitenga nae,amemweleza mwenzie ila hataki kumwelewa anasema yeye atamtunza pamoja na ujauzito wake na kama ni chuo atamlipia cost zote mpaka amalize,wac wac wa huyo dada anashaka na huyu bf wake japo amekuwa ni mtu wa kumjali
na kuonesha upendo cku zote kwann hataki waoane?na endapo atakuja kumgeuka akiwa bado chuo itakuwaje kuhusu costs ili hali anajua mzazi wake hatokuwa tayari kumpa msaada wa aina yoyote?ina maana atakosa shule,wazaz na mme pia.Je afanyeje?abortion inaweza kuwa solution,ili abaki na wazaz na shule?au a risk akubaliane na mwenzie?
na kuonesha upendo cku zote kwann hataki waoane?na endapo atakuja kumgeuka akiwa bado chuo itakuwaje kuhusu costs ili hali anajua mzazi wake hatokuwa tayari kumpa msaada wa aina yoyote?ina maana atakosa shule,wazaz na mme pia.Je afanyeje?abortion inaweza kuwa solution,ili abaki na wazaz na shule?au a risk akubaliane na mwenzie?