isack raphael
Senior Member
- Oct 26, 2013
- 139
- 30
23 mh! Anauelewa wa mpaka elimu gani, pia anaumbo kubwa au la wastani... Coz nauitaji wa mtu wa kaz.
23 mmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhh ............................!!!
Ningemshawishi wife amchukue ila kwa umri huo naogopa kusingiziwa kuwa nimemletea mke mwenzie ndani ya nyumba
Muelekeze kwangu natafuta mfnykazi za ndani
Habari zenu....
Kuna mdada kaomba nimuweke humu, lengo lake..
Anatafuta kazi yeyote hata msaidizi wa ndani (house girl) anamudu kufanya kazi hiyo...yuko tayari hata kuishi hukohuko job au kurudi kwao.
Ushahidi wangu kwake.
Naamini anaweza kufanya kaz pia ni mwaminifu,mchapakazi na anajali zaidi anapenda watoto hivyo kama unahitaj msichana kuwa na amani juu ya huyu.
Umri wake ni miaka 23 na anaishi dar es salaam.
Msaidieni tafadhari.
experience yake vipi na je papuchi ataweza kutoa au anakaza bongo people views in hg lifestyle..
Ningemshauri atafute bwana tu aolewe kwa huo umri kuwaza kazi zandani atachukua mda kupata hasa kwetu sisi wabongo, wana mama walio wengi hapa dar wanaamini ukimuajiri dada wa kazi mkubwa anaejielewa atakuja kuwa mke mwanza hivo hawataki kabisa watu wazima. Labda nenda Masaki kwa watu weupe kidogo
Muelekeze kwangu natafuta mfnykazi za ndani
Habari zenu....
Kuna mdada kaomba nimuweke humu, lengo lake..
Anatafuta kazi yeyote hata msaidizi wa ndani (house girl) anamudu kufanya kazi hiyo...yuko tayari hata kuishi hukohuko job au kurudi kwao.
Ushahidi wangu kwake.
Naamini anaweza kufanya kaz pia ni mwaminifu,mchapakazi na anajali zaidi anapenda watoto hivyo kama unahitaj msichana kuwa na amani juu ya huyu.
Umri wake ni miaka 23 na anaishi dar es salaam.
Msaidieni tafadhari.
Habari zenu....
Kuna mdada kaomba nimuweke humu, lengo lake..
Anatafuta kazi yeyote hata msaidizi wa ndani (house girl) anamudu kufanya kazi hiyo...yuko tayari hata kuishi hukohuko job au kurudi kwao.
Ushahidi wangu kwake.
Naamini anaweza kufanya kaz pia ni mwaminifu,mchapakazi na anajali zaidi anapenda watoto hivyo kama unahitaj msichana kuwa na amani juu ya huyu.
Umri wake ni miaka 23 na anaishi dar es salaam.
Msaidieni tafadhari.
experience yake vipi na je papuchi ataweza kutoa au anakaza bongo people views in hg lifestyle..
maelezo hayajitoshelezi na hujaainisha mahali,unapatikanaje vitu kama hivyo(FUNGUKA)
na historia yake fupi ya hapo kabla imekaaje