isack raphael
Senior Member
- Oct 26, 2013
- 139
- 30
- Thread starter
- #21
Naamini mtamsaidia
Ana umbo la wastan na elim ya msingi
Figa lake vp? Nataka nimuweke mapokezi.
kamwombee kazi kwa wahindi sio hapa!
Thanks.......tayari kashapata sehemu.
Habari zenu....
Kuna mdada kaomba nimuweke humu, lengo lake..
Anatafuta kazi yeyote hata msaidizi wa ndani (house girl) anamudu kufanya kazi hiyo...yuko tayari hata kuishi hukohuko job au kurudi kwao.
Ushahidi wangu kwake.
Naamini anaweza kufanya kaz pia ni mwaminifu,mchapakazi na anajali zaidi anapenda watoto hivyo kama unahitaj msichana kuwa na amani juu ya huyu.
Umri wake ni miaka 23 na anaishi dar es salaam.
Msaidieni tafadhari.
wife huwa haniaminiamini isingekuwa hivyo ningeku-PM akaja faster hapa Buguruni. Wife mwenyewe yuko sahihi kabisa kwa kutoniamini 7bu mimi nawafumuaga ma-housegirl kama sina akili nzuri vile. Sasa sijui tufanyaje kwani umenitamanisha tayari, ngoja nijaribu kumrubuni wife.
Habari zenu....
Kuna mdada kaomba nimuweke humu, lengo lake..
Anatafuta kazi yeyote hata msaidizi wa ndani (house girl) anamudu kufanya kazi hiyo...yuko tayari hata kuishi hukohuko job au kurudi kwao.
Ushahidi wangu kwake.
Naamini anaweza kufanya kaz pia ni mwaminifu,mchapakazi na anajali zaidi anapenda watoto hivyo kama unahitaj msichana kuwa na amani juu ya huyu.
Umri wake ni miaka 23 na anaishi dar es salaam.
Msaidieni tafadhari.
Mimi nina shida na msichana nmekuinbox mkuu...
wewe nani yake?