isack raphael
Senior Member
- Oct 26, 2013
- 139
- 30
Habari zenu....
Kuna mdada kaomba nimuweke humu, lengo lake..
Anatafuta kazi yeyote hata msaidizi wa ndani (house girl) anamudu kufanya kazi hiyo...yuko tayari hata kuishi hukohuko job au kurudi kwao.
Ushahidi wangu kwake.
Naamini anaweza kufanya kaz pia ni mwaminifu,mchapakazi na anajali zaidi anapenda watoto hivyo kama unahitaj msichana kuwa na amani juu ya huyu.
Umri wake ni miaka 23 na anaishi dar es salaam.
Msaidieni tafadhari.
Kuna mdada kaomba nimuweke humu, lengo lake..
Anatafuta kazi yeyote hata msaidizi wa ndani (house girl) anamudu kufanya kazi hiyo...yuko tayari hata kuishi hukohuko job au kurudi kwao.
Ushahidi wangu kwake.
Naamini anaweza kufanya kaz pia ni mwaminifu,mchapakazi na anajali zaidi anapenda watoto hivyo kama unahitaj msichana kuwa na amani juu ya huyu.
Umri wake ni miaka 23 na anaishi dar es salaam.
Msaidieni tafadhari.