Kabaizer
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 504
- 64
Jamani wakuu habari zenu poleni na majukumu ya hapa na pale.
Kuna dada amenifuata na kuniomba msaada na namfahamu kwa muda kidogo anatafuta kazi lakini kutokana na mimi kuwa na uwezo duni nimeona sio mbaya nikilifikisha kwenu wakuu ili mumsaidie japo hata kwa mawazo.
Huyu dada kusema kweli ni mzuri mpaka roho inauma,yeye mwenyewe anasema amewah kufanya kazi ya wakala ya mpesa na tigopesa, amewah kufanya kazi kama cashier kwenye minisupermarket, pia amewah kufanya kazi kama waitress kwenye hotel ya landmark.
Pia anasema anaweza akafanya kazi za ndani kwenda na kurud kwao kila siku,ila kwa bahat mbaya kinapokuja kigezo cha elimu anaachishwa kazi kwakua ameishia form four.
Mimi naweka uzi kama nilivyoagizwa kwa kua yeye cm hana kwa sasa mwenye moyo wa kumsaidia naomba amsaidie mimi nimeshindwa kwa kua ni mfanya vibarua tu na sina kazi ya maana,nawatakia kazi njema na mchana mwema.
Kuna dada amenifuata na kuniomba msaada na namfahamu kwa muda kidogo anatafuta kazi lakini kutokana na mimi kuwa na uwezo duni nimeona sio mbaya nikilifikisha kwenu wakuu ili mumsaidie japo hata kwa mawazo.
Huyu dada kusema kweli ni mzuri mpaka roho inauma,yeye mwenyewe anasema amewah kufanya kazi ya wakala ya mpesa na tigopesa, amewah kufanya kazi kama cashier kwenye minisupermarket, pia amewah kufanya kazi kama waitress kwenye hotel ya landmark.
Pia anasema anaweza akafanya kazi za ndani kwenda na kurud kwao kila siku,ila kwa bahat mbaya kinapokuja kigezo cha elimu anaachishwa kazi kwakua ameishia form four.
Mimi naweka uzi kama nilivyoagizwa kwa kua yeye cm hana kwa sasa mwenye moyo wa kumsaidia naomba amsaidie mimi nimeshindwa kwa kua ni mfanya vibarua tu na sina kazi ya maana,nawatakia kazi njema na mchana mwema.