PreGE2025 Msaga sumu akitumbuiza Mei mosi asema Tanzania kama ulaya, Rais Samia anaupiga mwingi

PreGE2025 Msaga sumu akitumbuiza Mei mosi asema Tanzania kama ulaya, Rais Samia anaupiga mwingi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Msanii wa Singeli Msaga Sumu akitoa burudani kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani leo Mei Mosi, 2025 mkoani Singida ambako maadhimisho hayo yanafanyika kitaifa na mgeni rasmi ni Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

 
Ariiiiii arririririiiiriiriiiiii aririririiriiiiiii
Piga bastola paaaaaah
 
Hv mnavyoleta hizi uzi nyingi hv kwan nyie mlitegemea kipi kipya huko kwenye hilo tamasha la kampeni za ccm
 
Tanzania nchi yangu
Tanzania fahari yangu
 
Back
Top Bottom