Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,928
Tuna idadi kubwa sana ya watanzania waendao China pengine kuliko nchi nyingine yoyote
Kumbuka wachina wanakula kila kitu chenye uhai..namaanisha KILA KITU ,haramu zote na visivyofikirika kuliwa
kuwa makini usije ukawa msafiri kafiri !!!angalia list hii ya baadhi walavyo wachina
Mbwa ,paka ,chura ,konokono ,panya ,funza(hasa kwa supu) kondo la nyuma ,fisi nk nk
Kumbuka baadhi ya vyakula hivyo hapo juu huuzwa kwa bei kali kwenye mahoteli ya kuanzia nyota 3,usidhani vinapatikana uswazi
Kumbuka wachina wanakula kila kitu chenye uhai..namaanisha KILA KITU ,haramu zote na visivyofikirika kuliwa
kuwa makini usije ukawa msafiri kafiri !!!angalia list hii ya baadhi walavyo wachina
Mbwa ,paka ,chura ,konokono ,panya ,funza(hasa kwa supu) kondo la nyuma ,fisi nk nk
Kumbuka baadhi ya vyakula hivyo hapo juu huuzwa kwa bei kali kwenye mahoteli ya kuanzia nyota 3,usidhani vinapatikana uswazi