MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Mkuu habari za kiintelijensia zilionyesha kuwa ni maandamano ya amani!!!!!!
Hatujapewa hata mia,msafara haujazomewa.mleta mada ameleta mada ionekane nae kaleta.that'z da ril situation,acha uzandiki maji.kidumu chama cha mapinduzi
naona umenitukana ngoja na mimi nimalizie ili nipewe bani usherekee!
wewe ****** tu **** la mama yako huna lolote! Unanifuatilia nini mbona kila comment yangu unaifuatilia kama mavi yako hayo?
Magwanda wasibwetejke sana...hata Igunga tuliyasikia haya..............
hv kwanini dr slaa hakugombea akapita bila kupingwa!!!!!!
Ushabiki kama huu wa kisiasa ndo umetufikisha hapa tulipo! Wananchi makini walio na elimu ya uraia hawawezi kufanya mambo ya kipuuzi kama hayo...unazomea and what next? Nilisha sema humu kuwa nchi yetu haiwezi kusonga mbele kama hatutaacha ushabiki wa kisiasa, lazima tuchambue wagombea kwa kusikiliza sera zao tu na sio vyama vyao. Naona hata humu members wanazidi kupulizia tu. Nchi yetu haitakombolewa na ccm wala chadema ama chama chochote kwa wakati huu ambao elimu ya uraia bado haijawafikia watanzania wengi! Tukiacha ushabiki huu naamini tutakuwa tunamjudge mtu kulingana na sera zake na usafi wake ktk jamii!
waliokuwa wanazomea wana kadi za kupiga kura?
Hatujapewa hata mia,msafara haujazomewa.mleta mada ameleta mada ionekane nae kaleta.that'z da ril situation,acha uzandiki maji.kidumu chama cha mapinduzi
Hili ni swali la kipumbavu!waliokuwa wanazomea wana kadi za kupiga kura?