Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
Mwita25 now Take-uchi, ... Analo jingine Mama Porojo.. Aisee secretariat ya Chama Tawala watu hawa mliowatuma Jamvini trip hii Kwa Maoni yangu mngewapeleka kupima akili Na weledi wao kwenye tasnia ya majibizano.. Najitahidi sana kusoma sred zao zimejaa ulimbukeni, ushabiki bashasha, ukereketwa Na miwasho ambayo haina Hoja Wala. Inatia aibu Kwa Chama kuwakilishwa Na wanachama Kama hawa kwenye jamvi makini Kama hili. Inatupa Picha kwamba aliyebaki ndani ya Chama Kama si fisadi Basi ni maskini ya Mungu mwananchi aliyechanganyikiwa Kama hawa wawili.. Sisemi Haya kuwazogoa Bali kama mnadhani mnayo Hoja iliyojengeka Basi muipost Kwa usahihi sio kuendekeza mabishano mamboleo..