Typhoid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 223
- 66
Ushabiki kama huu wa kisiasa ndo umetufikisha hapa tulipo! Wananchi makini walio na elimu ya uraia hawawezi kufanya mambo ya kipuuzi kama hayo...unazomea and what next? Nilisha sema humu kuwa nchi yetu haiwezi kusonga mbele kama hatutaacha ushabiki wa kisiasa, lazima tuchambue wagombea kwa kusikiliza sera zao tu na sio vyama vyao. Naona hata humu members wanazidi kupulizia tu. Nchi yetu haitakombolewa na ccm wala chadema ama chama chochote kwa wakati huu ambao elimu ya uraia bado haijawafikia watanzania wengi! Tukiacha ushabiki huu naamini tutakuwa tunamjudge mtu kulingana na sera zake na usafi wake ktk jamii!