Msafara wa Rais wa Zambia kuelekea Marekani kwenye Mkutano wa UN watumia ndege ya abiria ya Qatar Airways ili kupunguza gharama zisizo za lazima

Does it change idadi if you are going Kwa private au commercial?

Jakaya used to travel Kwa commercial but Unajua walikua wanasafiri wangapi?

In bulk… wengine Swissair, wengine Emirates, wengine Qatar na wengine klm

Na Unajua privileges zao kwenye ndege? Classes za bus/cabin wanazo chukua? At least Kwa atc kuna limit ya business na first class

Unajua security details za commercial?

Unajua cost ya multiple handling yao wakiwa ughaibuni?

Unajua kwamba it may take less than 45% ya flight kulipa gharama zote za trip? So if we used ours gharama zinakuaje ?

Anyways… mkiamua kukomaa na emotions huwa mnapaki gari iliyowabebea Akili kituo cha polisi
Sasa sijui hiyo idadi ya watu watatu walioongozana na Hichilema huitaki au vipi
 
View attachment 1945516

Rais mpya wa Zambia Mh Haikainde Hichilema , ameelekea Marekani kwenye Mkutano wa UN kwa kutumia usafiri wa watu wote wa ndege ya Qatar Airways , na taarifa zinaonyesha kwamba amepanda daraja la chini kabisa maarufu huko Tanzania kwa jina la (Kajamba nani)

Msafara huo mzito wa Mh Hichilema umeamua kupunguza gharama za safari kwa kuacha ndege binafsi ya Rais ili pesa itakayookolewa ijenge upya Nchi yao kwa lengo la kupunguza Umasikini .

Mh Hichilema ameongozana na maofisa wengine Watatu (3) tu .

Mungu ibariki Zambia
Hana walinzi?

Advance team

Watu wa uwekezaji?
 
Huyu wetu katambaa na mwewe gani jamani?isijekuwa lile tembo d liner.
Na shughuli ya kwanza ni kugonga selfie na kina kimambi.
 
Sasa sijui hiyo idadi ya watu watatu walioongozana na Hichilema huitaki au vipi
Hana walinzi?

Kwenye hizi trip Kuna official/formal na informal delegates

Hawezi kutetea coal economy halafu akaenda kule na watu watatu…. Yatakua ya Magu na mtasema alikua anaamua peke yake

Get me right… sipendi safari za viongozi za nje na Sipendi turudi Kwa jakaya, lakini hoja zetu ziwe substantial na sio emotional

I liked Magu freeze to travels especiallybwith Covid

But mama has other ideas

ILA video ya kwanza kumuonyesha mama na mange was wrong… watu wake wa protocol waache hizo

Mange alikua anatukana mamlaka hadi matusi ya nguoni
 
Hana walinzi?

Kwenye hizi trip Kuna official/formal na informal delegates

Hawezi kutetea coal economy halafu akaenda kule na watu watatu…. Yatakua ya Magu na mtasema alikua anaamua peke yake

Get me right… sipendi safari za viongozi za nje na Sipendi turudi Kwa jakaya, lakini hoja zetu ziwe substantial na sio emotional

I liked Magu freeze to travels especiallybwith Covid

But mama has other ideas

ILA video ya kwanza kumuonyesha mama na mange was wrong… watu wake wa protocol waache hizo

Mange alikua anafuma a mamlaka hadi matusi ya nguoni
Hii ni taarifa ya serikali ya Zambia , sasa kama hutaki kuiamini kutokana na kutaka kuweka usawa kati ya misafara ya viongozi wenu na wa nchi za watu basi sawa
 
Hii ni taarifa ya serikali ya Zambia , sasa kama hutaki kuiamini kutokana na kutaka kuweka usawa kati ya misafara ya viongozi wenu na wa nchi za watu basi sawa
🤣🤣

Sawa.....

Kwa hiyo Rais Hichilema amekwenda na Walinzi 3 bila ya wasaidizi wengine ?!! Mmmh 😲😲🤣🤣
 
Umesahau malengo ya ROYAL TOUR?!!

Rais anasafiri na ndege yetu lengo likiwa ni kuitangaza TANZANIA KIUTALII kipindi hiki cha CORONA....

Ndio maana UTAWALA wa awamu ya 5 ukaziandika maneno ya "kitalii" katika mbavu za ndege hizo.....

Mfano "AIRBUS A220" imeandikwa "Ngorongoro"....

#SiempreJMT
Wala hiyo sababu yako haina mashiko , hiyo royal tour, imeanza lini, mbona toka nyuma marais wetu kila wanapokwenda nje lazima watumie ndege binafsi?kulinganisha na baadhi ya marais wa wengine wa afrika, mfano , kenyata kuna baadhi ya safari hutumia ndege za abiria!!leo una mtetea kuwa ni sawa, kesho akiacha kuitumia tena utarudi hapa na kumpongeza, hapo ndio huwa siwaelewi mnasimamia wapi?
 
Yaani kusema ile "AIRBUS A220" imeandikwa "Ngorongoro" kwa ajili ya malengo ya kuhamasisha UTALII ni utetezi duni?!! Khaaa 😲🤣🤣
Acheni upuuzi...
Utalii gani unatangazwa...
au kwa kua bongo wajinga ni wengi...

Huu ndio utalii Unatangazwa

1632092545066.jpeg

1632092585699.jpeg
 
Umesahau malengo ya ROYAL TOUR?!!

Rais anasafiri na ndege yetu lengo likiwa ni kuitangaza TANZANIA KIUTALII kipindi hiki cha CORONA....

Ndio maana UTAWALA wa awamu ya 5 ukaziandika maneno ya "kitalii" katika mbavu za ndege hizo.....

Mfano "AIRBUS A220" imeandikwa "Ngorongoro"....

#SiempreJMT
Wewe Tena
 
View attachment 1945516

Rais mpya wa Zambia Mh Haikainde Hichilema , ameelekea Marekani kwenye Mkutano wa UN kwa kutumia usafiri wa watu wote wa ndege ya Qatar Airways , na taarifa zinaonyesha kwamba amepanda daraja la chini kabisa maarufu huko Tanzania kwa jina la (Kajamba nani)

Msafara huo mzito wa Mh Hichilema umeamua kupunguza gharama za safari kwa kuacha ndege binafsi ya Rais ili pesa itakayookolewa ijenge upya Nchi yao kwa lengo la kupunguza Umasikini .

Mh Hichilema ameongozana na maofisa wengine Watatu (3) tu .

Mungu ibariki Zambia
Hivi JPM naye aliwahi kwenda ? Najaribu kutafuta uzi wako ukimsifia JPM kwa savings alizofanya kwa kutokwenda kabisa kwenye mikutano hii kwa miaka 5 mfululizo. Siku nzima nimetafuta uzi wako huo sijauona. Tafadhali nisaidie niuunganishe na uzi wako huu wa kumsifia Mr HH.
 
Back
Top Bottom