Msafara wa Putin Chechnya Kufuru

Dah huo msafara Madikteta bana Yani hayajiamini popote pale Iwe kwenye sanduku la kura, Uhuru wa habari Na hata misafara.
Nchi kama Russia, ina mafia wengi sana na ukisikia chechnya sio sehemu ya kitoto
 
Gari tatu za mwanzo hapo zikitaka kupigana pasi
 
duh huu msafara noma asee, gati 94 hzi,
 
Unajua hali ya usalama wa Chechnya ?
 
Wewe acha ujinga! Yaan US wampige Putin kwa drone! Unafikiri US hawaiogopi Bulava a.k.a Satan? Hivi Kim Jong Un wamemgwaya hivi ndo wataweza kwa Mzee mzima Putin?
 
ukishangaa ya Putini utayaona ya Xi Jinping ana escort na ndege zaidi ya 8 ziarani Pakistan, sijui Tanzania lini tutafikia huku..... Kama maji safi ni shida huku tutabaki tukiona kwenye youtube tu

JF-17s Thunder


Hatari
 
Gari 95 hadi 100.
Kulikua na mkuu wa mkoa wa Tabora enzi za Kikwete alikua akiitwa Fatma Mwasa, kama mara mbili nimewahi kushuhudia msafara wake ukiwa na magari kama 40 hivi.
 
Msafara wa mamba kenge nao wapo [emoji23] [emoji1] wahenga wana misemo ya ajabu sana....
 
Trump anatembelea The Beast na gari kama 30 lakini Putin anaonekana hajiamin ni dikteta!..[HASHTAG]#MahabaOnFleek[/HASHTAG]!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…