Msafara wa Makonda wapata ajali

Mwenyezi Mungu akupe ahuweni ya chuki na gubu dhidi ya wafanyayo wengine tena wasokuhusu...

Kwa Neema na Baraka za Mungu, akuondolee Roho ya ubinafsi na kujihesabia haki na kuhukumu wengine...

Akupe ahuweni ya mapema kabla hujaumia moyo zaidi kwa gubu...
 
Jibu zuri sana hili, ahsante sana kwa jibu kama hili.
 
Ila hii habari haijakamilika wala nini. Ilitakiwa ikamilike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…