regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 51
Niko maeneo ya mbezi magari saba kuna gari ya wagonjwa inamuwahisha mgonjwa toka tumbi. Mara msafara wa kikwete ukatokea na kuamuru ambulance hiyo ipaki pembeni.
Jambo hili limetusikitisha sana kwa kitendo hiki ukichukulia gari inawahi kunusuru uhai wa mgonjwa.
Kwa hiyo ina maana kwamba bora mgonjwa afia zake mbali. Inasikitisha sana!
Jambo hili limetusikitisha sana kwa kitendo hiki ukichukulia gari inawahi kunusuru uhai wa mgonjwa.
Kwa hiyo ina maana kwamba bora mgonjwa afia zake mbali. Inasikitisha sana!