[/B]
Inaitwa triple laana. Atakomaje?
naimani penye wengu hapalibiki jambo nakukana mimba si vizuri ila kukubali mimba isiyo yako ni vibaya kuna mwenzangu alhamis nilikutana naye bahati mbaya kinga ikapasuka leo hii ananipigia sm anasema anamimba yangu jamani watalaamu wa mambo ebu nisaidieni kweli inawezakana hii
jamani hawa wadada siku hizi wapo fertile sana maana wiki nzima watu wanasema wamemega mara moja tuu na bidada imo!!!
sasa naona wadada wanatutega vibaya sana
Na bado, we acha waendelee kupiga kavukavu, watategwa sana na watajikuta hata wanaume watatu wanalea mimba moja, wote kila mmoja akitarajia mtoto ni wake lol! Fertility imekwenda juu sana lol!
mie ndio maana nasema kila leo...respect women as our mothers and sisters but be very warry of them as life partners....full usanii...wanakulengeshea tuu mwanawane
Kila binadamu ni msanii, si umesikia jana kuna mtu kapost jamaa alimtegeshea akamjaza mimba sasa anavunja uchumba! So u better be careful. Ila ukiwa too wary hutaishi na partner - inabidi sometimes unakubali tu ile kwako kama najua kuna gains na wewe unazipata kwake lol!
mwe!!! ukikubali hilo basi ujue utakosa peace of mind....bora ata nikose papuchi kuliko peace of mind
Nawachukia sana watu wa namna hii, kwani hawa ndio wakati mwingine wa kuongezeka watoto wa mtaani. Hua roho yangu inaniuma sana ninapo pita Posta usiku wa manane na kuvikuta vitoto vimelala chini, hapo vingine vina bakwa, vingine havijala, huku mapumbavu kama haya yanayo jishauri kama mimba zao yamelala huko matumbo juujuu kama mafisadi
Mwanaume hakubali kukosa papuchi ....sana sana ataenda kuitafuta popote pale ilipo lol!
naimani penye wengu hapalibiki jambo nakukana mimba si vizuri ila kukubali mimba isiyo yako ni vibaya kuna mwenzangu alhamis nilikutana naye bahati mbaya kinga ikapasuka leo hii ananipigia sm anasema anamimba yangu jamani watalaamu wa mambo ebu nisaidieni kweli inawezakana hii
jamani hawa wadada siku hizi wapo fertile sana maana wiki nzima watu wanasema wamemega mara moja tuu na bidada imo!!!
sasa naona wadada wanatutega vibaya sana
Jibu mnalo nyie wawili, kutuuliza sie ni kutuonea tu..
Wewe mwenyewe unakiri mpira ulipasuka, tukusaidieje sasa?
Mimba sio ugonjwa bana acha kuwa muoga kiasi hicho, kwani mtoto wa shule huyo?
Hongera zangu kwako kwa kuwa baba mtarajiwa!!...
mwe!!! ukikubali hilo basi ujue utakosa peace of mind....bora ata nikose papuchi kuliko peace of mind