Msaada

Kinagu ubaga = ni kuelezea or kusema kitu or vitu kwa ufasaha! Or maelezo yanayotosheleza or to disclose something!
Eg: Alimuhadithia mambo yote kinaga ubaga!!!
...
Kinaganaga sidhani kama ni kiswahili sanifu!
But inamaana ya Zigzag or Tirigivyogo!
 
Kinagu ubaga = ni kuelezea or kusema kitu or vitu kwa ufasaha! Or maelezo yanayotosheleza or to disclose something!
Eg: Alimuhadithia mambo yote kinaga ubaga!!!
...
Kinaganaga sidhani kama ni kiswahili sanifu!
But inamaana ya Zigzag or Tirigivyogo!

salute! mkuu unatisha.
kinaganaga (kiswahili cha kale) = kinaga ubaga (kiswahili cha kisasa). maneno haya yana maana moja.
 
Back
Top Bottom