msaada

kama bado zipo ni stock ya zamani sasa hivi wameshatoa vodacom E303 haichakachuliki kwa unlock code inachakachulika kwa ku update firmware
 
Nasikia zimepanda bei baada ya watu kuzigundua udhaifu wake. Wanauziana kimya kimya kama madawa vile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom