Wana jf me nimepangiwa na ministry of education DSM halmashauri ya kinondoni wazee nipeni bac direction ya kufika hapo maana dar me mgeni japo c saana.
Thanks!
Itakuwa ni pale Magomeni Usalama ukitokea Ubungo ukitelemka tembea kidogo kama unaenda Kwenye mataa utaona geti kuubwaa ndo hapo hapo opposite na Hotel ya Trav.
Wana jf me nimepangiwa na ministry of education DSM halmashauri ya kinondoni wazee nipeni bac direction ya kufika hapo maana dar me mgeni japo c saana.
Thanks!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.